Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Diamond chukua tahadhari leo kwa kiba kesho kwako imarisha ulinzi nyumbani kwako!!
Kila siku kwenye TV wanatangaza mali zao!! Sijui ni ujinga ama kitu gani na diamond nae tunahesabu siku tuu si nyumba yake nae ina gold!..hivi unamuonyesha jambazi mahali ilipo nyumba yako na mali ulizonazo??..hapa sio USA mkiona kina 50 na pdiddy wanaonyesha nanyi mnaiga!!..kamwe sitatoa pole!!..angaibiwa mpoto ningetoa pole lkn sio hawa wapuuzi wanaoshindana kuonyesha mali zao kwenye mitandao
Kila siku kwenye TV wanatangaza mali zao!! Sijui ni ujinga ama kitu gani na diamond nae tunahesabu siku tuu si nyumba yake nae ina gold!..hivi unamuonyesha jambazi mahali ilipo nyumba yako na mali ulizonazo??..hapa sio USA mkiona kina 50 na pdiddy wanaonyesha nanyi mnaiga!!..kamwe sitatoa pole!!..angaibiwa mpoto ningetoa pole lkn sio hawa wapuuzi wanaoshindana kuonyesha mali zao kwenye mitandao
OK kwa nini umemtaja Diamond? ushauri wako wakinaffski na roho mbaya labda weye ndio unayepanga haya...ngoja tukuripoti kwa wana JF wakufatilie kwanza....
Kiba ana nini cha kuibiwa..?? Kiki nyingine hzi..!!
Akwendee
Kila siku kwenye TV wanatangaza mali zao!! Sijui ni ujinga ama kitu gani na diamond nae tunahesabu siku tuu si nyumba yake nae ina gold!..hivi unamuonyesha jambazi mahali ilipo nyumba yako na mali ulizonazo??..hapa sio USA mkiona kina 50 na pdiddy wanaonyesha nanyi mnaiga!!..kamwe sitatoa pole!!..angaibiwa mpoto ningetoa pole lkn sio hawa wapuuzi wanaoshindana kuonyesha mali zao kwenye mitandao
kuna kitu nilikihisi wakati nasoma hiyo habari ya kiba kuibiwa nikajiuliza why after zari white party?
nikaona ngoja nikae kimya kwa clouds kila kitu kinawezekana!!
kuna kitu nilikihisi wakati nasoma hiyo habari ya kiba kuibiwa nikajiuliza why after zari white party?
nikaona ngoja nikae kimya kwa clouds kila kitu kinawezekana!!
Mateja hao majambaz now hawaibi vitu wanaiba pesa tu kiba apost picha ya vitu vyake insta tumsaidie vilipo hifadhiwaMfalme bila malikia?
Mke wake alikuwa wapi?
Jumba la kifalme halina tight security jamani? Yani mpaka vibaka wanaenda kufanyia field ya wizi kwa mfalme?
Damn...