Ali Kiba avamiwa na majambazi nyumbani kwake

Kiba ana hela ya kupanga au kumiliki nyumba kunduchi beach?
 
I know , you are better than that.

No matter what!! Hukupaswa kuandika Yale uliyoandika mwanzo pale.

Sometimes kuteleza kupo,unakuja kugundua tayari public imesha note ulicho andika inabidi uwe mpole tu!!
 
Mfalme bila malikia?

Mke wake alikuwa wapi?

Jumba la kifalme halina tight security jamani? Yani mpaka vibaka wanaenda kufanyia field ya wizi kwa mfalme?

Damn...

mashabiki wake wamefata viingilio vyao
 
Lazima domo anahusika na wizi huu
 
Mfalme bila malikia?

Mke wake alikuwa wapi?

Jumba la kifalme halina tight security jamani? Yani mpaka vibaka wanaenda kufanyia field ya wizi kwa mfalme?

Damn...

Carlos katoroka kweny gereza lenye shoti ya umeme mita 100 kila upande sembuse huo ulinzi wa kiba, ongea vitu vya maana watu wakitaka kuingia popote pale panaingilika2
 
Wamechukua kila kitu kivipi? Mbona hueleweki si useme tu wamemuhamisha.
 
Ww mbulula lini ulisikia ali kiba katangaza mali zake??? Acha wivu wa ki-martin kadinda we

Yeye hatangazi ila anawatuma nyinyi wake zake kupost nyumba zake humu!..mwambieni mume wenu kiba na mume wenu diamond!!..mwisho wa huo utoto wao ni umauti!! Muda utaongea!!..jambazi hana uswaiba anakupiga shaba hata kama ni mpenzi wa nyimbo yako ya single boy au mdogo mdogo!!
 
Mfalme bila malikia?

Mke wake alikuwa wapi?

Jumba la kifalme halina tight security jamani? Yani mpaka vibaka wanaenda kufanyia field ya wizi kwa mfalme?

Damn...
Excel mtu yoyote anaweza akaibiwa haijalish yeye ni nani......ni kitendo cha kusema tuu pole
 
Last edited by a moderator:

Mhhhh inamaana wote wanaoibiwa huwa wanatangaza mali zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…