Ali Kiba: Dully Sykes ni baba yangu kwenye muziki, kanitoa mbali sana

Yani nimebaki nacheka tu hapa jinsi mzaramo alivyoniamulia..
Na sio uzi huu pekee,ni nyuzi zote zinazohusu hizi timu zetu.

Basi hata akikuta replies za watu 10 wa upande wenu nawe ukiwemo atawaacha wote akuquote wewe.
Ndio maana leo nimejitoa kukuombea salama
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bifu lao ni la tija sio la uhasama wa kijinga. NI KAMA lile la sikinde na msondo, au Khadija Kopa na Nasma Hamisi (rip). Kutokana na 'bifu' lao wao wanapiga hatua kwenye musiki na kipato, kilabaho......
Binafsi sitaki kuona hili bifu linaisha leo wala kesho.
Ni lazima tutofautiane kuchochea maendeleo.
Tusipokosoana pande hizi mbili tutajisahau,hakuna namna.
Bifu ni lazima liendelee.
 
Binafsi sitaki kuona hili bifu linaisha leo wala kesho.
Ni lazima tutofautiane kuchochea maendeleo.
Tusipokosoana pande hizi mbili tutajisahau,hakuna namna.
Bifu ni lazima liendelee.
Hahahaha eti "bifu lazima liendelee".. Ili upate chance ya kugombana na bae
 
Na sio uzi huu pekee,ni nyuzi zote zinazohusu hizi timu zetu.

Basi hata akikuta replies za watu 10 wa upande wenu nawe ukiwemo atawaacha wote akuquote wewe.
Ndio maana leo nimejitoa kukuombea salama
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahah kumbe umenotice hicho kitu daaaahh [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaha eti "bifu lazima liendelee".. Ili upate chance ya kugombana na bae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] si unajua napenda ligi?
Tutapooza bwana likiisha.
Hakuna namna...lazima liendelee.
 
Zisiiiizi dole saiksiiiiiiiiiii eheeeeeehhhh!!

Proopapapimpu tararara
 
Unamanisha kiba alikuwa anajimegea Queen[emoji3] [emoji3]
hahaha.. wafuasi wa watu wanavunga utadhani hawajaiona hii comment.. hata mi niliwahi kujiuliza ile collabo ya queen darlin na kiba, malipo ya qd kwa kiba yalikuw nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…