Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaa usijali atoto kawa mbea sana

duuuh!! huku kunionea sasa, sio wewe uliyekuja hapa kusema cjui mdakuzi kakudakua nn mpaka ukawa na hang over????
 
Last edited by a moderator:
Mi nnachopenda kumshaur my king kiba kwanza atafute menejiment nzuri aendelee kutuburudisha km kawa aachane na skendo(najua hana bt nakazia tu) nashangaa watu wanavyosema ooooh kazalisha wanawake tofaut ukute nao baba zao wamezalisha hivyo hivyo mbna hata huyo domo baba yake amezalisha wanawake tofauti. Mungu mwenyew amesema nenden dunian mkazaane muijaze dunia
 
Na wajinyonge tu km vp. Msanii chizi+mashabiki wehu+promoter mwendawazimu+bora menejiment=ngono project

nlikua nataka kulala ila upuuzi ulioandika umenfanya niamin hata mbwa wangu aweza kukufundisha kuheshimu wengine
 

yani hilo la mangement ndio penyewe, alafu achangamke aendane na kasi ya ulimwengu wa sasa kimuziki, masuala ya play back tupa kuleeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…