Na wajinyonge tu km vp. Msanii chizi+mashabiki wehu+promoter mwendawazimu+bora menejiment=ngono project
Mhhh huu uzi unafuatiliwa na wengi jamani!!!hadi wewe?
haaaaaaaahaaa
hahaaaaarrrrreeee
hahaaaahhuheeesstt
Mi nnachopenda kumshaur my king kiba kwanza atafute menejiment nzuri aendelee kutuburudisha km kawa aachane na skendo(najua hana bt nakazia tu) nashangaa watu wanavyosema ooooh kazalisha wanawake tofaut ukute nao baba zao wamezalisha hivyo hivyo mbna hata huyo domo baba yake amezalisha wanawake tofauti. Mungu mwenyew amesema nenden dunian mkazaane muijaze dunia
nlikua nataka kulala ila upuuzi ulioandika umenfanya niamin hata mbwa wangu aweza kukufundisha kuheshimu wengine
Na kweli ckuwa bored nimeamin familia hii ni wakarimu sana nifah,atoto,geniveros,mdakuzi,matol... tuzidi kupata raha na kumpa saport kiba wetu
nlikua nataka kulala ila upuuzi ulioandika umenfanya niamin hata mbwa wangu aweza kukufundisha kuheshimu wengine
Mhhh huu uzi unafuatiliwa na wengi jamani!!!hadi wewe?
mtenda akitendewa huhisi kaonewa
ladathoooo
woyoooooooooooooo
umegusa mfupa
mtenda akitendewa huhisi kaonewaaaa
woyoooooo ladatho umegusa mfupaaaaa
guduuuuuuuuu
saaaaarffff
Hahahaaaa! Huu usajili ulifanyika kwa umakini mkubwa, yaani katua Leo tu, lakini anachapa bakora hadi watu wakatiza usingizi wao. Umetisha sana ladatho
Ova
eti kunya anye nani vileeee!!! Majina yote wametuita na kumuita kiba sie walaaa tukakaa kimya, wakiona haitoshi wanakuja huku kabisaaa na shombo zao tunawaangalia tu, ila ukiwagusa sasa uwiii wanapagawa km trafik aloacha sufuria ya ugali nyumbani inachemka akenda kutega apate ya mboga, akikosa sasa anatamani akamate hata aeroplane, hebu watupisheee wakapaliwe mbele ya safari
kiba ni maji usipomuoga
utamnywaaw truuuuu!!!
mi kule siingiii sijipi presha nilicomment mwanzoni sijaenda tena mana sikuzaliwa kwenye matusi mie.$!
anajishaua tu km hana usingizi aje tucheze dushelele
hahahaaaaaa!!! Yaani kuna maengeneer wa matusi kule na wanawashwa balaa wakiona wamekosa wa kumtukana kule wanahamia huku ili japo wazisuuze roho zao, wera weraaaaa kiba full burudani matusi unaondokea mlango uloingilia
Anajishaua tu km hana usingizi aje tucheze dushelele
hahahaaaaaaaaa
umeua bendi akamate emirates