Ali Kiba Fans' Special Thread...


sure awe na mangement nzuri na pia awe mbunifu mi naulizia tishert hapa daily sijajibiwa
 
nlikua nataka kulala ila upuuzi ulioandika umenfanya niamin hata mbwa wangu aweza kukufundisha kuheshimu wengine

Xo nmekushika macho usilale au nmekuita??? Nkuheshimu who ar u? Ukweli cku zote unauma mwambien huyo mpumbavu mwenzenu
 
mtenda akitendewa huhisi kaonewa
ladathoooo
woyoooooooooooooo
umegusa mfupa

eti kunya anye nani vileeee!!! majina yote wametuita na kumuita kiba sie walaaa tukakaa kimya, wakiona haitoshi wanakuja huku kabisaaa na shombo zao tunawaangalia tu, ila ukiwagusa sasa uwiii wanapagawa km trafik aloacha sufuria ya ugali nyumbani inachemka akenda kutega apate ya mboga, akikosa sasa anatamani akamate hata aeroplane, hebu watupisheee wakapaliwe mbele ya safari
 

hahahaaaaaaaaa
umeua bendi akamate emirates
 
kiba ni maji usipomuoga
utamnywaaw truuuuu!!!
mi kule siingiii sijipi presha nilicomment mwanzoni sijaenda tena mana sikuzaliwa kwenye matusi mie.$!

hahahaaaaaa!!! yaani kuna maengeneer wa matusi kule na wanawashwa balaa wakiona wamekosa wa kumtukana kule wanahamia huku ili japo wazisuuze roho zao, wera weraaaaa kiba full burudani matusi unaondokea mlango uloingilia
 
hahahaaaaaa!!! Yaani kuna maengeneer wa matusi kule na wanawashwa balaa wakiona wamekosa wa kumtukana kule wanahamia huku ili japo wazisuuze roho zao, wera weraaaaa kiba full burudani matusi unaondokea mlango uloingilia

mi ndo sina mda mchafu wa kuenda ht kuangalia
kutukana silka yao wamekulia kwenye matusi
 
Anajishaua tu km hana usingizi aje tucheze dushelele

dushelele shele dusheeeele dushelele wa......, ali wa kitaa ali wa leo na keshooooooo(nimeongezea maana utamu umezidi)
 
hahahaaaaaaaaa
umeua bendi akamate emirates

watuache tupumueeee maana mji we tu huu kwa raha zetu, we mwanaume umeingia choo cha kike tena ukakojoa umechuchumaa alafu unataka uheshimiwe!!! heshima my foot, ndio taabu za tap tap hizi, huku ni burudani na raha tu kwakwenda mbele, ukikerekwa kagonge treni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…