Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Umsahau wapi while anakujia ndotoni kama jinamizi!!unampenda sana kuja humu ni dhihirisho tosha!!Nw yupo kwake kapumzika,vipi unataka ukamwone!?
Mi nakesha humu kwa King wangu wewe je?Sukari wapiii mavi yanguu!!atakufa kwa kansa kisa kula mitishamba ya kuvutia mabinti!!Mimi yule wallah hata wanaume wote wakifa duniani bora ninyweshwe acid kuliko kumbusu yule!!Hhhee alishasema kazi kuu ya moyi ni kusukuma damu kupenda viherehere vyao acha walambwee sukari ya warembo ileeee mmmhuuuu kukesha twakesha wotee hhhhhhaaaaaa kiba wapiiiiii
ukiniona huku ujue nimekuja kuwachamba tuuuu,watoto watoka pabaya, mxiuuuu zenu, waone macho yalivyotoka roho mbaya tu kaa wakaanga sumu, kumpa mwezenu sifa zake mwaona chupi zitawabanaeeee??? na mwaka huu lazima mtakunya matikiti maji.
Hhhee alishasema kazi kuu ya moyo ni kusukuma damu kupenda viherehere vyao acha walambwee sukari ya warembo ileeee mmmhuuuu kukesha twakesha wotee hhhhhhaaaaaa kiba wapiiiiii
Fanya yako. Hope ujumbe utafika mmmmmh watu wanajua kuwashwa cjapata kuona raha apate mwingne kiuno ukate ww inahuuuuu.
ukiniona huku ujue nimekuja kuwachamba tuuuu,watoto watoka pabaya, mxiuuuu zenu, waone macho yalivyotoka roho mbaya tu kaa wakaanga sumu, kumpa mwezenu sifa zake mwaona chupi zitawabanaeeee??? na mwaka huu lazima mtakunya matikiti maji.
Ni kawaida hiyo sio tuzo ya kwanza ya daimond, ,,,,siku akibeba mfalme wenu mtakunya bogaa
Na ni kuwashwa tu kunawasumbua ngoma si yao wanajitia kucheza mbele wala nyuma hakutingishiki kuwashwa kunawasumbua wakitulize huko kwao
Kwa kuwa nyie mmekunya nanasi miku***u inawawasha ndo mnadhani wote eeeeeh
Msijali tutawagawia tuzo moja msijali eti tupendane tu
Nashukuru Diva kwa maneno Kuntuuu!Wanahara na tiba hawaijui!mioyo inawapasuka na ndimi zinawatoka kutujazia nzi humu!!Kiba miaka mia!!sasa kama Kiba hafai why wanamtumia kama comparison ya dai!!
Akuuu!!hatutaki tuzo zenu za kiganga!!kama upendo upo siku zote,
Kwa kuwa nyie mmekunya nanasi miku***u inawawasha ndo mnadhani wote eeeeeh
Achana nao hao kunya maboga walishazoea mpaka dai anajua that's y alishawahi kuwaambia ay ndo mtu wa kwanza kufungua njia kimataifa kama hawataki wakanye maboga!!imagine star unawaambia ivo fans wako sasa fans watakuwaje is wehu kuliko wewe!!
Kweli kiba anawanyima raha kabisa wamemwacha domo Wao wamekuja huku wamewashwa kwweli mashabiki type yake empty set kabisa badala wabaki kwao ni vzuri wamekuja kumkubali Kiba kimoyoni Wakati hana time wanafanya mashindano mashibiki empty set with big head>>>>>>
Akuuu!!hatutaki tuzo zenu za kiganga!!kama upendo upo siku zote,
Kweli kiba anawanyima raha kabisa wamemwacha domo Wao wamekuja huku wamewashwa kwweli mashabiki type yake empty set kabisa badala wabaki kwao ni vzuri wamekuja kumkubali Kiba kimoyoni Wakati hana time wanafanya mashindano mashibiki empty set with big head>>>>>>
Heheeee ya tatu jamanu mkilazwa mseme tu hatuna roho mbayaaa tutawaletea juice ya limao na ndimu na pilipili kwa mbaliiiiiiiiii