Kibaaaaaa no matter what wewe mkaliii!!cheki vibibi vinavopagawa na wewe!!haaaaa
usijitoe ufahau bibiye i was there from day one, mlivyokuja na mashauzi yenu ya kiba ni mkali kuliko mondi, mara anakipaji mara alisifiwa na Rkelly, sooo what??? baada ya kusifiwa akaenda fungia kpaji kwenye fixed account eee??? kipaji bila juhudi tupa kuleeeeeeeee, mtatokwa povu sana lakini ukweli ndio huo, mondi juhudi zake ndizo zinazompeperusha, na sio kiki, what is kiki anyway??? kuigaiga tu misemo msiojua hata maana yake, kelele nyingi kazi hakuna, mi nikikuwa nawatizama tuu nilijua lazika mtaangukia pua.
Sasa umenunia ninii,hata mi sipendi basi tu dai kupata matuzo kibaooooi
Heheeee niwekee banaaaa
Tulikuja wapi??bibi naona viroba vinatafuna ubongo!!sijawahi kuja kwenye banda la bata mie nifate nini kwa mfano!!Na kiba ni moto wa kuotea mbaliiii!!Kiki maana yake Kiki!!hujui au!!Ebu kakitulize kule kwa misukule wenzio usinichoshe mieeee!!Kiba kakuchanganya mpaka unapoteza kumbukumbu na baaaaado!Kibaaaaaaaaaaa
usijitoe ufahau bibiye i was there from day one, mlivyokuja na mashauzi yenu ya kiba ni mkali kuliko mondi, mara anakipaji mara alisifiwa na Rkelly, sooo what??? baada ya kusifiwa akaenda fungia kpaji kwenye fixed account eee??? kipaji bila juhudi tupa kuleeeeeeeee, mtatokwa povu sana lakini ukweli ndio huo, mondi juhudi zake ndizo zinazompeperusha, na sio kiki, what is kiki anyway??? kuigaiga tu misemo msiojua hata maana yake, kelele nyingi kazi hakuna, mi nikikuwa nawatizama tuu nilijua lazika mtaangukia pua.
Tulikuja wapi??bibi naona viroba vinatafuna ubongo!!sijawahi kuja kwenye banda la bata mie nifate nini kwa mfano!!Na kiba ni moto wa kuotea mbaliiii!!Kiki maana yake Kiki!!hujui au!!Ebu kakitulize kule kwa misukule wenzio usinichoshe mieeee!!Kiba kakuchanganya mpaka unapoteza kumbukumbu na baaaaado!Kibaaaaaaaaaaa
maneno mabaya ni yale unayoambiwa wewe tu eee??? yale uyatoayo kwa wengine sound sweet for you eee??? be my guest miss.
Am kiba's fan
ila mashabiki wa kiba mna moyo mgumu ?!
Am kiba's fan