Huyo ni mzaa chema anayepokea wakwe wapya daily,na huyo pembeni ni maza fulani,muuza unga,katikati ni punda wake mpya!!
Ina maana diamond hawezi tena kupata msichana wa rika lake mpaka anaangaika na Mmama makamo ya mama yake?
Xoxo!mara mia yani mapeeeeendo mpaka wazirai!nmeipenda adhabu ya uvumilivu dhidi ya mabongolala!mis lincoln,nifah,atoto,diva,showme,ave,ladatho luv u sanaaaa na wengine wote
kuna habari kwamba diamond anataka kumlipia ali kiba kichupa ili na yeye ang'are japo c2c maana video alioshoot mwanzo ilipotelea kwenye ile ndege ya Malaysia
Ina maana diamond hawezi tena kupata msichana wa rika lake mpaka anaangaika na Mmama makamo ya mama yake?
Wanataka picha ili waulize mwanamke wake ni yupi?hicho ndicho haswa wanachokiwaza.
Sasa unadhani wasipowaza chini wale watawaza wapi??master wao mwenyewe akilala anaota chini akiamka anatafuta chini kupya daily...Na wanapenda sana kuwaza chini kuliko chochote hao
Hahahaaa! Mmama wa watoto watatu, aliyemaliza ujana wake kwa matajiri kisha kaja kulia uzee wake kwa dogo.
Ova
Sasa unadhani wasipowaza chini wale watawaza wapi??master wao mwenyewe akilala anaota chini akiamka anatafuta chini kupya daily...
Aaah!Yani ni ivii,ilo jimama lina pesa chafu(illegal) lilipata toka kwa mmewe,huwa linawatumia vijana wadogo kama huyo dogo kumsuguuua kisha mwishowe anawabebesha unga na kuwapa kangoma(they say so)
Huyu dogo ni wa kuhurumiwa ni lack of education.
Somji,upo wapi vile ulifanikiwa kumfikishia mfalme taarifa ya huu uzi!?
Heee hili nilikua silijui hili kuuhusu chameleon....