Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ni kweli anahitaji ushauri shule ni muhimu sana kwenye life skills hata Ku wide level of understanding hafu kuna wanaomsifia akifanyacho bado mdogo na ana staili kufanya makubwa kuliko alipo sema hii tabia zitamfanya asifikie malengo

Ajabu kaenda kuchukua washauri wasio na elimu zaidi yake. Fella kwa ajili ya waganga na Tale kwa ajili ya kubania wanamuziki wakali wakati ambao Nassib anataka kutoa nyimbo Mpya.
Kwa hiyo ni kama kundi la jongoo ambao hawajui waendako, ndio maana hata wakipanda ndege kwenda hata hapo SA tu lazima wapost picha Instagram. Sasa walikofikia sasa ndio wameshagota. Upeo wao ndo umeishia hapo.
Ova
 
Mdakuzi wewe!!una brains mpaka unakera!!wengi hatukuelewi kwa vile tumezoea mabishano,matusi na mipasho!!wewe unatoa hoja nzito afu zina ukweli tena bila kumvunjia mtu heshima!!sasa hawaelewi mabongolala kama master wao!!xul pia tatizo

Hahahaaa Asante. Kuanzia sasa nafuata ushauri wako wa ukweli.
Ova
 
Nassib anabembeleza usiku na mchana ili aendelee kuongea na Chameleon lakini jamaa kamkazia tu, hadi Nassib anadai kwamba kuna watu wanamgombanisha naye.
Ova

Teh!isijekua jamaa kamind hili saga la Zari nasikia alishaosha rungu pia!!
 
Inasikitisha sana kwakweli kijana mdogo anapotea hivi hivi kwa kutaka kiki mafanikio kwake mojawapo ni papuchi hadi za vizee anakula makombo sasa atafte saizi yake sa ivi atahamia kwa bi Cheka

Hahahaaaaa eti bibi Cheka!loh...
 

Miaka ya late 90's niliwahi kumkuta Fellah jijini Johannesburg nilikwenda kumtembelea mbongo mmoja kwenye appartment wanayoishi kulikuwa na wabongo wengine wanashare appartment ili kumudu gharama za rent pale pia nilimkuta Said Fella akiwa kama ndio chief cooker wa getto na nikweli anajuwa kukangalangiza madikodiko usipime.

Sasa baadaye maisha ya kule yalipomshinda nilishangaa kusikia hapa Bongo Fellah naye ni meneja wa Tmk. Kweli hii ndio Bongo.
 

Haha hahaaa ndio maana ana kitambi kama kiroba cha njegere nini?
 

Ulimbukeni ni janga kwakweli badala ya kutafta professional wa kumshauri vizuri hao waganga siku ikidunda atapotea mambo ya gizani huwa yana ng'ara na kufifia ndo mana wanaomshauri a date mademu tofauti kupata kiki kweli shule muhimu dah
 
Hahah nafurahi sana kuona hii thread inabadilika kutokana na matukio tena matukio ya Dimond na sio ally kuiba

Katoa ngoma mpyaa mkaanza kuijadili kuwa ni mbaya, kamchukua zari mkaanza kujadili, jana kachukua tuzo imekuwa topic katika uzi huu wakati hayo yakiendelea hakuna hta issue yyte ya msingi aliyofanya Ally kuiba...

Huu ni uzi bora kabisa kwa unafki ambao haujawahi kutokea duniani ....endeleeni kujadili mkimaliza muulizeni blaza video anatoa lini mwaka unaisha huuu au anaogopa kufanya video zake Visual lab??? Maana anashindana speed na Buggati wakati yy anaendesha San LG
 
Teh!isijekua jamaa kamind hili saga la Zari nasikia alishaosha rungu pia!!

Wala sababu sio hiyo, coz Zarina sio mwanamke wa kuonewa wivu, watu wanajipigia tu. Ndio maana hata yule muuza sembe wake aliyekuwa akimpa jeuri ya pesa alimtosa, na sasa ana demu mwingine anaishi naye SA.
Chameleon alichukia coz aligundua kuwa Nassib ndiye aliyesambaza habari za kuwa eti Chameleon kaomba collabo kwake, kwa wakati ambao kuna kampuni ilikuwa ikitaka waimbe wimbo wa pamoja, kwa hiyo Nassib alitaka wimbo ukitoka ionekane Chameleon aliomba Collabo.
Sasa Chameleon ndo kakasirika sana na kawaambia wanamuziki wa Bongo na Kussaga wa Clouds Media juu ya kukasirishwa kwake na kitendo cha Nassib, kisha akam-block katika akaunti zake.
Ova
 

kweli maana tuzo zao za kipindi kile na sasa tofauti hata ule ushawishi umepungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…