Mhuuuu Matola utasumbuliwa sana kwa Le tamkozz hilo maana wengi wetu(Hasa wapita njia) wanatamani iyo nafasii...
Mhuuuu Matola utasumbuliwa sana kwa Le tamkozz hilo maana wengi wetu(Hasa wapita njia) wanatamani iyo nafasii...
Sheria za nchi zinakuruhusu kuolewa ukiwa na miaka 13 ila kupiga kura miaka 18.
Nitatumia fitina zangu zote hilo haliwezi kutokea tena kama Diva Beyonce yuko single au kwenye unstable relationship basi jibaba nitapropose myself officialy.
hahaaaaaa!!! Diva njoo unaitwa huku
Ha ha ha babu chinga alie tu huko aliko kwa kweli hana ubavu kwa team kiba
Hahahaaaa uwiiiiii hii movie ya leo tamu hatariiii
muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio
Kwahiyo uko under 22yrs old siyo?
Yani nimhurumie babu kabisa wa team nwaflani haiwezekani kabisa
Uwiii...Mdakuzi naye ametulia tuliii....ha ha ha!Atoto usijaliii hana familia bwana...
Leo kazi ipo hapa jamani! Hahahaaa
Ova
Teh! Teh!
Ninong'oneze mie nikusaidie kutoa le tamkoz
Duh! Kizunguzungu tu, wala sina Le tamkoz wangu hahahaaaa.
Ova