guuuuuuuud morning dear lovely family
Ms.Lincoln ana balaa huyu
Teh! Teh!
Ninong'oneze mie nikusaidie kutoa le tamkoz
Duh! Kizunguzungu tu, wala sina Le tamkoz wangu hahahaaaa.
Ova
Nampenda king wangu kiba simwachi
Mtasema mtachoka moyoni kwangu hatoki. Nmewamiss sanaaaaaaaaaaaa
miss u more, ulikuwa wapi mama? yaani mapenzi kwa kiba ndio yanazidi kuongezeka
hahaaaaaa! hebu muacheni babu apumue, dada nifah c unawaona hawa walivyowachokozi
Sio vizur hivyo Atoto usimbanie mwenzio au sio Ms-lincoln maana naona we ndo kipenda nambari one
nisimbanie Ms.Lincoln!!!! yeye ndio anambania nifah
poleni kwa dhahma
Hatujapoa mama maana still tupo gizani
Naona Ms-lincoln anaplay part yake pale kati vizur jaman anajarib kuunganifa le peoplez