I'm here,miss you too
I'm here,miss you too
waaooh!!! umeona le project?
Mdakuzi,umenireject haaa!Haaa
Mie ndo nlitaka apropose kwangu lol!
Nimekuja tayari, umeniona?
Ova
Hahahaaa! nachagua jibu zuri la kukupa. Maombi kama haya, huwa hayatakiwi kutolewa majibu ya kukurupuka tu. Ni maombi adimu.
Ova
Hahahaaa! nachagua jibu zuri la kukupa. Maombi kama haya, huwa hayatakiwi kutolewa majibu ya kukurupuka tu. Ni maombi adimu.
Ova
Hahahaaa! Asante, naja wangu!
Ova
unakwenda wapi wakati le tamko linatakiwa litolewe hapa?
Ntatoa hapa hapa.
Ova
Mhuu!!Hapana asitoe nisije kujinyonga na mate bureee!a!Niimbie tu kawimbo kamoja nilalee!!(Naona muhusika halisi kavaa njuga)sasa si utoe sasa?
Mhuu!!Hapana asitoe nisije kujinyonga na mate bureee!a!Niimbie tu kawimbo kamoja nilalee!!(Naona muhusika halisi kavaa njuga)
yamekuwa hayo tena!!!Mdakuzi brother(kwa kikwetu),njoo usijing'ate bwana atoto anangoja unishushue hana lolote!
Saydou funguuuuka nduguuu!Naona tunatamanishana tuuu!
oooh this is guud to hear
👑👑👑 in London
👑👑👑 in London