Somji juma,so ndomo alitaka amwone Kiba pembeni alidhani bodyguard wake!?Au alimaanisha nini?
Mitaa hiyo hata uniamshe saa nane usiku unibwage hapo ni kama nipo sebureni kwangu, nyuma ya milima hiyo ndio mwisho wa Africa Cape point The Cape of good hope ambapo bahari mbili zinakutana Atlantic ocean na Indian ocean.Mhhhhh... Matola sikuwezi jamani!!!
Le mbebes she is kissing the wind, akija kushtuka is too late.
Mitaa hiyo hata uniamshe saa nane usiku unibwage hapo ni kama nipo sebureni kwangu, nyuma ya milima hiyo ndio mwisho wa Africa Cape point The Cape of good hope ambapo bahari mbili zinakutana Atlantic ocean na Indian ocean.
Le mbebes she is kissing the wind, akija kushtuka is too late.
Shikamoo Matola!!Diva na Mdakuzi mtakuta sie tushaenda zetu paris...Mitaa hiyo hata uniamshe saa nane usiku unibwage hapo ni kama nipo sebureni kwangu, nyuma ya milima hiyo ndio mwisho wa Africa Cape point The Cape of good hope ambapo bahari mbili zinakutana Atlantic ocean na Indian ocean.
Le mbebes she is kissing the wind, akija kushtuka is too late.
So you mean Mungu 'alinipa' Mdakuzi!!Nawewe alikupa nani wako!!ha ha ha
Hahahaaa ila nimeshakuambia Le mbebez yuko Miami u know...
Ndio maana Ndomo kaamuwa kudeal na vikongwe hawana usumbufu, nyinyi under 30 bado tamthilia nyingi.
Naona,naonaaaa uwiiiii hiyo siku nitaangalia hiyo video yake huko YouTube mara 100 shiiida gani?
Bundle linanisumbua halina kazi GB's zipo za kumwaga.....
Ngoja niwasiliane na Rais wa wabeba box kwanza anijurishe kama anamtambuwa raia huyu.
najionea huruma hiyo cku maanaaaaa!! ngoja nithitheme
Kwa kweli tuombe uzima tu maana JF hiyo siku patachafuka,huku tunatakiwa tuangalie YouTube bado kupitia huko insta.....uwiiiii tuanze kupiga zoezi jama maana hiyo video inakuja kufunika hadi suala la Escrow...
Shikamoo Matola!!Diva na Mdakuzi mtakuta sie tushaenda zetu paris...
kichizi yaaani.mpk nimevua c.h.u.p.i.Mbona unajitesa sanaaaa omame omamee,omame haya mameee aaaeeee...
Uwiii rhumba limekoleaje???
kichizi yaaani.mpk nimevua c.h.u.p.i.
Ali kiba ni mwanamuziki wa nyumbani kama alivyo king'wendu,
Diamond ni mwanamuziki wa kimataifa kama alivyo Rihanna au Davido.
lazima ujue kutofautisha, kati ya msalaba na +, kati ya X na kuzidisha.
acha kbsa.kiba ni habari nyingine.yaani unackiliza nyimbo hata mkweo akiwepo huoni aibu.cyo mond kila kukicha mapenzi.cjui nani kamwambia wengine hawayajui.au vile ndo mambo yake?mana mtoto anapenda chini yule hatareeeeeeeee.Hahahaaaaa kha!una vituko wewe!!!!