Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jamani kwani Matola kumpenda atoto ni sawa na kusema matola anamchukia Ms.Lincoln??Au Mdakuzi kumpenda Ms.Lincoln ni sawa na kusema anamchukia nifah?Au Buku saba FC kumpenda Diva Beyonce ni sawa na kusema anamchukia Avemaria?(Confuse them!)
Baaelezee bibie mwaka huu lazima wameze vidonge siunajua tena shuzi limempata mjampaji????ha ha ha haaaaaa
 
hebu anza kushuka mistari mayb nitakufikiria
ha ha ha ha ha haaaaaa!me nimezoa vya kunyonga vya kuchinja siwezi !?
Ninachotaka team kiba wajue nimezimikaaa.....me sina papara nasubiri mola atanipa!mchezo gani huo wa kunikonyeza konyeza mchumba.....
Nakshi nakshi mrembo upo??
 
ha ha ha ha ha haaaaaa!me nimezoa vya kunyonga vya kuchinja siwezi !?
Ninachotaka team kiba wajue nimezimikaaa.....me sina papara nasubiri mola atanipa!mchezo gani huo wa kunikonyeza konyeza mchumba.....
Nakshi nakshi mrembo upo??

Umeimba au umeandika:what::what::what:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…