Ali Kiba Fans' Special Thread...

ha ha ha ha ha haaaaaa!me nimezoa vya kunyonga vya kuchinja siwezi !?
Ninachotaka team kiba wajue nimezimikaaa.....me sina papara nasubiri mola atanipa!mchezo gani huo wa kunikonyeza konyeza mchumba.....
Nakshi nakshi mrembo upo??

vya kunyonga vibudu hivyo, vya kuchinja vina raha yake tena, chezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…