am okay!Nipe ma breaking news ya town about king......
π±π±π±π±π± daaaaah🙆🙆🙆
ha ha ha haaaa!together we can,worry nt Mkuu.
ha ha ha ha ha haaaaaa!me nimezoa vya kunyonga vya kuchinja siwezi !?
Ninachotaka team kiba wajue nimezimikaaa.....me sina papara nasubiri mola atanipa!mchezo gani huo wa kunikonyeza konyeza mchumba.....
Nakshi nakshi mrembo upo??
Usiniseme eeeee x3Umeimba au umeandika:what::what::what:
Usiniseme eeeee x3
usiniseme kama nimeandika au nimeimbaaaaaaaaaaaaaaa
Ha ha ha ha ha aaaaaaaaaa
Umeimba au umeandika:what::what::what:
Mmh!Abiria chunga mzigo wako....yuko doria!vipi baba mbona macho yakutoka tena?
We can ?? So unataka tumuoe wote bukusaba bana🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Nimekua Baba πππ
ha ha ha haaaaa!huo ni uandishi copy and paste from king....siunajua tena mapenzi yana run dunia?bora unisaidie kuuliza, mie nilijua ataimba kumbe anaandika mistari ya nyimbo za kiba we Buku saba FC huko ndio kuimba?
Buku saba FC ni kweli haya ambayo macho yangu yanayasoma!!! sitaki kuaminikizuri kula ndugu yako mkuu!
wivu sina but roho inauma
hapana ni Teamkibaoooh sory kumbe ni mama?
Mmh!Abiria chunga mzigo wako....yuko doria!
hapana ni Teamkiba
wivu mbaya naweza nika kuMUSHI!ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaa!Buku saba FC ni kweli haya ambayo macho yangu yanayasoma!!! sitaki kuamini
ha ha ha haaaaa!huo ni uandishi copy and paste from king....siunajua tena mapenzi yana run dunia?
hataki kuibiwa....doria??! anachunga uzi au?