Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wakuu wale ambao wanamkubali kiba naona kapost insta kuwa wanaupload video ya mwana,naisubiri sana kwa hamu.
C.c nifah

Eti nini Viol?kasema sasa hivi?
Atai upload saa ngapi?nina mchecheto hapa balaa
 
Last edited by a moderator:
Insta kasema hivo lisaa moja iliyopita,fb page 13 min iliyopita

Ngoja nikae mkao wa kula sasa,ikibidi nimuibukie huko insta sasa hivi...
Ahsante kwa taarifa naona wenzangu wengi hawapo sijui wameshindwa kwenye s/mitaa?...lol
 
Ngoja nikae mkao wa kula sasa,ikibidi nimuibukie huko insta sasa hivi...
Ahsante kwa taarifa naona wenzangu wengi hawapo sijui wameshindwa kwenye s/mitaa?...lol

Hahaha nategemea video itakuwa ya ukweli,nitakatika sana akileta marangi rangi meusi kama video za nisher
 
Hahaha nategemea video itakuwa ya ukweli,nitakatika sana akileta marangi rangi meusi kama video za nisher

Utakatika???
Huyo nisher hana lolote watu wanamjaza sifa za kijinga tu.Kuna msaidizi wake aligombana naye sasa hivi yuko kivyake jamaa yuko vizuri sana,ndiye aliyei direct ngoma ya quick rocka bishoo.
 
Utakatika???
Huyo nisher hana lolote watu wanamjaza sifa za kijinga tu.Kuna msaidizi wake aligombana naye sasa hivi yuko kivyake jamaa yuko vizuri sana,ndiye aliyei direct ngoma ya quick rocka bishoo.

Video za nisher zinaboa sana,alivurugana na jamaa baada ya kuzidiwa uwezo ikabidi amtimue,but good thing jamaa bado anafanya vizuri kuliko nisher
 
Video za nisher zinaboa sana,alivurugana na jamaa baada ya kuzidiwa uwezo ikabidi amtimue,but good thing jamaa bado anafanya vizuri kuliko nisher

Yeah,yuko vizuri sana na ni bado mdogo.Sijawahi kumpenda nisher kabisa,mimi ni fan wa the legend Adam Juma.
 
Wakuu wale ambao wanamkubali kiba naona kapost insta kuwa wanaupload video ya mwana,naisubiri sana kwa hamu.
C.c nifah

Umemuelewa vibaya
Nanukuu "wakat Tukiload mwana video nimekua nikipokea videos za watu mbalimbali wakidance Mwanadsm
Na ww Fanya yako then tag #mwanadance nitalike na kukoment na kuirepost

Hata hvyo chini ya kapet nackia mwana Ijumaa itakua out
 
Last edited by a moderator:
Adam fundi icheki Pacha wangu ,forever etc

Nimeiona Forever, ni kazi ya mbele. Adam Juma anajua sana. Huwa najiuliza sana hivi wakimpa Adam hizo 40 millions hatazifunika hizo video wanazokwenda kupiga kwa makaburu huko?
Ova
 
Nimeiona Forever, ni kazi ya mbele. Adam Juma anajua sana. Huwa najiuliza sana hivi wakimpa Adam hizo 40 millions hatazifunika hizo video wanazokwenda kupiga kwa makaburu huko?
Ova

Mil 40 wap muongo uyu msanii mwenye tatzo la nyota
Adam ukimpa pesa hyo anafanya video USA akuna
 
Mil 40 wap muongo uyu msanii mwenye tatzo la nyota
Adam ukimpa pesa hyo anafanya video USA akuna

Hahahaaaaa! 40 millions si bora kumalizia nyumba au kumchomoa mshua wake kwenye maisha ya kifukara ili afanane naye angalau.
We jamaa umenichekesha sana.
Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…