Ali Kiba Fans' Special Thread...

Too much is harm full my Ave,tukisema tuwaache watazidi kutupanda vichwani

Mi sasa hivi nawalia bati tu kwasababu nishaona niwachokozi tu na ukijibishana nao anaona kama amekuweza!

Mtu akikuprovoke kweli kwa maana halisi we chonga nae....lakini hivyo vichokochoko vya vya kitoto tupa kuleeee!
 
Karibu kwenye thread ya watoto wa mjini, unamshabikia domo wakati hata vijisenti vya kununuwa single yake mbovu unataka watu wengine wanunuwe wewe usikilize bure, ni sheedar.

ha ha maneno ya mfa maji haya....from king to mtoto wa mjini ha ha ha next time itakua thread ya watoto wa mtaa wa aggrey....kwisha kazi.
 
ha ha maneno ya mfa maji haya....from king to mtoto wa mjini ha ha ha next time itakua thread ya watoto wa mtaa wa aggrey....kwisha kazi.

Ivi hawa jamaa bado wana bwabwaja hapa.

??
Machizi kweli, sasaivi wanaongea nini labda??

SHUT THEIR HELL UP.!!!
 
Watu wengine wa ajabu kweli,mmeambiwa mashabiki wa domo mkutane kule,lakini mkilala mkiamka mpo huku kulikoni kama kweli hamuumii na Kiba?
 
ha ha maneno ya mfa maji haya....from king to mtoto wa mjini ha ha ha next time itakua thread ya watoto wa mtaa wa aggrey....kwisha kazi.

Sasa hata ikiwa ya kitoto unaumia nini kwa domo kumekushinda nini kiba kawashika vibaya mnajipa pressure juu yake yeye hana rudi kwenye Uzi wenu
 
Sasa hata ikiwa ya kitoto unaumia nini kwa domo kumekushinda nini kiba kawashika vibaya mnajipa pressure juu yake yeye hana rudi kwenye Uzi wenu

Ume elewa lakini nilicho andika hapo? soma tena vyema nilicho mjibu matola,by the way jf ni huru hakuna wa kunizuia na kunichagulia uzi wa kusoma au kuchangia......Out of topic (ulininyima namba yako Diva Beyonce au mpaka leo still you "think about it?")
 
Last edited by a moderator:
Ume elewa lakini nilicho andika hapo? soma tena vyema nilicho mjibu matola,by the way jf ni huru hakuna wa kunizuia na kunichagulia uzi wa kusoma au kuchangia....ulininyima namba yako Diva Beyonce au mpaka leo still you "think about it?"

Nilielewa sana tu ndo mana nika Ku quote I know jf ni huru unafanya utakacho the choice is yours mhhhhhh namba yangu .....
......
 
Last edited by a moderator:
Watu wengine wa ajabu kweli,mmeambiwa mashabiki wa domo mkutane kule,lakini mkilala mkiamka mpo huku kulikoni kama kweli hamuumii na Kiba?

Tulikuwa tunapita tu,tukaona mmepooza sana…tukaona sio vibaya tukiwasalimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…