Kwani dai hajawa nominated kwenye best male?
Mtu yupo best male wakati Hana nyimbo hata moja kwny tuzo bora hata Peter mchesu aliingia n nyimbo ya,nyota n best male last year
Dai yupo category 6 n 7 ya most inspiring song alioshirikishwa n bracket vp kiba Ana nomination Ngapi?
Tayari tumeshajua nani ni nani na yupo wapi. Shime watanzania tuwainue wasanii wetu, tusitumie muda mwingi kulumbana. Tupige kura.
Nilijua lazma mtachongaa.
Na muumie tuu hmna namna.
Mbona sisi hatujaumia mlivyopata tuzo ya kukata mauno? Duu nilikuwa nampango wa kuvote for domo ila kwa hali hii ya wivu hapanaaaa
Khaaaa! Inamaana umesahau Best Male in Tz ni King Kiba?Kiba yupo kwenye TUZO YA MAANA KAMA DAVIDO VILE best male EA.
Hapo hapo usisahau yeye ni BEST MALE IN TZ
Kiba yupo kwenye TUZO YA MAANA KAMA DAVIDO VILE best male EA.
Hapo hapo usisahau yeye ni BEST MALE IN TZ
Vibaya mnooo, eti category moja! Sisi ndio tumesharidhika na tunashukuru kwa hicho kidogo tulichopata.Aisee, watu wana roho za kwanini?
Nasema hivii...
Mbona team ndomo team wanenguaji mmeumia hivyo kiba kutajwa? Mara oooh hastahili mara sijui nini.
Au kwa sababu hajafanya collabo na watu wa naija na kenya na uganda? Maumivu yakizidi mwone doctor.
Hamna cha collabo na watu wa nje wala nini ila tunatoboa kimataifa hutaki hama nchi.
Best male....
Khaaaa! Inamaana umesahau Best Male in Tz ni King Kiba?
Sema best male east hata peter msechu aliingia kabla ya kiba last year akatusaidia kubeba tuzo yetu tutamtuma kiba atuchukulie pia tuzo πππππ
Mie mbona nimeshavote? Tena asubuhi hii hii kwa kutumia opera min.Yaan naanzaje kusahau.
Kiba bhana adi raha watu wana hara hara pyeeeeeeee...
Vipi mamy mimi sija vote ujue system inagoma
Vibaya mnooo, eti category moja! Sisi ndio tumesharidhika na tunashukuru kwa hicho kidogo tulichopata.
Inshaallah na sie tutapata vikubwa.
Mie mbona nimeshavote? Tena asubuhi hii hii kwa kutumia opera min.
Vibaya mnooo, eti category moja! Sisi ndio tumesharidhika na tunashukuru kwa hicho kidogo tulichopata.
Inshaallah na sie tutapata vikubwa.
Hahahaaaaaa haraaaaaaaaraaa
Mbona ni kiba na sio domo? Ina maana domo sio mwanamuziki bora wa kiume Africa mashariki??
Inamaana ujaona jina LA diamond embu angalia vizuri tena namba 3 n nani
Nimeliona lakini kwani atashinda? Wew unazani best male ni nani kama sio king?