Ali Kiba Fans' Special Thread...

Duh watu wanaukame wa nyimbo, hyo demo inavyokazaniwa kama official kwel mapenz upofu haha
School bebe
 
daa we jamaa wewe unamatatizo kweli yani #mi nataka video ya "nikifa kesho " wa domo unatoka lini ??? mana huna namna mpaka upite huku

Vp kiba c alitoa track mbili mwana n kimasomaso cku km Leo vp kimasomaso video lini n mbona cku uckia tena zaidi ya kwny simu ya demu wng
 
pwilo leo umenifurahisha sana. Yaan wew ni noumaaa.
Mshanyooka kitambo kama vipi wainame tuu.
Ama neneee.
 
Last edited by a moderator:
Duh watu wanaukame wa nyimbo, hyo demo inavyokazaniwa kama official kwel mapenz upofu haha
School bebe

Demo tuu inawatoa utelezi vipi audio ikitoka si ndo mtainama fasta ipitee pyeeeeeeeee maana utelezi tayari ushawatoka.
Hahahaaa school babyyy.
Wauweeeeeee
 
Vp kiba c alitoa track mbili mwana n kimasomaso cku km Leo vp kimasomaso video lini n mbona cku uckia tena zaidi ya kwny simu ya demu wng
kimasomaso na "nikifa kesho" ipi imeanza kutoka toeni nyie kwanza sisi si maskini pesa ya video hatuna
 
kimasomaso na "nikifa kesho" ipi imeanza kutoka toeni nyie kwanza sisi si maskini pesa ya video hatuna

Sie nitakufa kesho alivujisha maneke n ukimuona zote mbili ndo maana tukazisusia eeh nyie kimasomaso c mlitoa official video lini n vp ktma haikungia
 
Vp kiba c alitoa track mbili mwana n kimasomaso cku km Leo vp kimasomaso video lini n mbona cku uckia tena zaidi ya kwny simu ya demu wng
mpaka leo domo hapatani na manekee kwa ajili ya ule wimbo "nikifa kesho " aliuvujisha makubaliano ni mpaka afe ye akaotoa
 
Hunizidi mimi mumy, leo nimecheka sana kwakweli! Eti...
#TumeshanyookaInameniBasi !
Hii itaua zile mbwembwe za kishamba zilizokua zinaendelea humu.

Yaani nimecheka balaaa.. Kidingi ndio alikuwa mwenyesha campen ya vijana wetu wanyooke cha ajabu wameshanyooka kakimbia hahahahaaaaaa.
Mambo vipi mamy
 
Last edited by a moderator:
mpaka leo domo hapatani na manekee kwa ajili ya ule wimbo "nikifa kesho " aliuvujisha makubaliano ni mpaka afe ye akaotoa

Hahaha kwaio Diamond alijua kua atatangulia kabla ya maneke au. Mbona unaongea vitu havina msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…