Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kwani unanitisha basi?Wewe bado sana.
Ila siasa imenikaa hata mziki sina hamu nao sana.

nifah karibu tujiliwaze ukipata muda, superb version
 

Attachments

  • Screenshot_2015-11-10-15-39-15.png
    39.2 KB · Views: 133
  • Screenshot_2015-11-10-14-42-54.png
    69.2 KB · Views: 122
Last edited by a moderator:
Kazi ipo" ngoja niweke akiba ya maneno
 

Attachments

  • 1447244059465.jpg
    69.9 KB · Views: 139
  • 1447244075871.jpg
    31.2 KB · Views: 126
Maelezo yake hayo apo. . M kwa ushauri tu king atangulie kutoa mapema maana c unajua balaa ba Baba T

Hana lolote huyo,ameshaanza kuweweseka.
Sifa ngoja usifiwe.......historia wameziacha akina Marijani Rajab bwana.
 
Hana lolote huyo,ameshaanza kuweweseka.
Sifa ngoja usifiwe.......historia wameziacha akina Marijani Rajab bwana.

Mbona kiba anajiita king?? usisubiri kusifiwa hata bella kila siku anajiita ye ni king of the best melodies na ni kweli..

Diamond kuanzia collable aliyowashirikisha p2, yule peter alishaiongelea kwamba ni kati ya collable kaaaaali ambazo zimewahi kutokea Afrika alivyoojiwa na shadeeweris clouds 360

Afu collable yake na Neyo tayari wakina K cee, na brakets aliwaonjesha kidoooogo hadi walipanick hadi vast bracket akaamua kumpost diamond kwenye insta yake na kuandika King of the best melodies..

Licha ya hayo mawili kuna watu wanaokuzunguka wa kuhakiki kazi zako ni kati ya watu wa kukupa marks ukilinganisha na kazi zilizopita, kwahiyo alichoongea ni ukweli mtupu ni kuzisubiri tu!!


Anyways hongereni, mzigo upo vizuri nagharamia ajitahidi video iwe kali ipate airtime maana clouds au efm na wala tv zetu za kibongo hazina mpango kiivo..
 

Uwiiiiiiii,hilo gazeti umemuandikia nani kwa mfano?
Pole maana povu limekutoka na mimi wala sina muda wa kujua umeandika nini!
 
Uwiiiiiiii,hilo gazeti umemuandikia nani kwa mfano?
Pole maana povu limekutoka na mimi wala sina muda wa kujua umeandika nini!

hahaha au hujaielewa nagharamia??

Usipanic hizo ni facts tu, na nilijuwa akili ndogo siku zote wanaogopa facts!!!


TEAM WASAFI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…