Daniel Cleverest
Senior Member
- Sep 27, 2014
- 105
- 123
Ila honestly huu mzigo wa kawaida saana, labda bifu liubebe tena maana watu hawakawii kuanzisha bifu
Kiba duu huyu jamaa anatisha sana....
Wapeeeee majiiii majirani wanaharaaaaaaaaa...
Bwaha ha ha ha kiba waueeeeeeee...
Dadeeeeeeeek jamaaa anajua hadi kero yaniii
Kiba duu huyu jamaa anatisha sana....
Wapeeeee majiiii majirani wanaharaaaaaaaaa...
Bwaha ha ha ha kiba waueeeeeeee...
Dadeeeeeeeek jamaaa anajua hadi kero yaniii
Huhuhu imewauma imewachoma Ali Kiba anavyowatikisa,,, hadi mtu kapanic anasema et atatoa nyimbo kutoka mbinguni,,,,POP IT IN
Duh kuna fans wa kiba adi leo hawajausikiliza kwel tangopori
Duh kuna fans wa kiba adi leo hawajausikiliza kwel tangopori
Acha uchoko wewe, watu tuko busy usidhani kila mtu ni kula kulala kama wewe.
Nilishaupakua kitambo mkuu tokea asubuhi,nasubiri nikausikilize home usiku ndio nitatoa maoni yangu.
Hahahaha acha kulia lia ww yan umekosa hata dk3 zakusikiliza new single frm King"
i guec Utakua umeusikiliza alaf kama ujaelewa hiv sema tu. Out of expectation
Hizo dakika 3 unazoziona chache kwangu mimi ni nyingi na ni vigumu kuzipata.