Nimependa ulichoandika. Hasa hapo mwisho[emoji135]Kiba hua anakera sana anavyokaa kimya ila sasa akidondosha kitu mnasahau upumbavu wake wa mwaka mzima,Man Walter anajua sana kutengeneza midundo aiseeeee ukisiliza seduce me na utaniau ya Jux utanielewa kuna upekee wa hali ya juu kwenye mikono yake napenda muziki usiokua na vurumai hii seduce me inaenda kumuweka Kiba dawati la mbele zaidi kwenye kipindi cha hesabu anaonyesha anajiamini na anajua anachokifanya.
Zilipendwa naona kama KAMBI RASMI YA UPINZANI wamepanick ivi badala ya kuja na fire extingusher kwenye moto wamebeba madumu ya petrol.
Ukiona Music Video Hit ya Alikiba inafanana na Music Hit za Mbeleee ujue Alikiba ni International level.Duuub kaiga kila kitu.hata beat inavyoanza,wasanii wetu hawana ubunifu kabisa.
Nasikia eti kaiba nyimbo ya bony mwaitege hahaab
Hakuna kipya chini ya jua,ila jinsi ya kuelezea ni tofauti,hakuna alichocopy,hilo jina la wimbo hakuna mwenye hati milikije ushawahi sikia nyimbo ngapi zenye idea ya mtu ku salitiwa na mpnz, au mtu kumuimbia au kumsifia mpnz wke anampenda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu benki ya damu nadhanj ni muhimu kuliko benki zoteBenki ipi?labda benki ya damu.
Bro, unastahili kuwa first commenter... Sio kwa post hii.Wimbo wa king unaweza kwenda kuombea mkopo benki ila huu wa Chai jaba kiukweli akaushindanishe a ule wa Saida Karoli.
Nimawazo yako au wamesema wanashindana na mtu[emoji23] [emoji23]Wakae watulie sio kutoa kila siku ,,bit zile zile ,idea zile zile ,,watu saba wanashindana na mtu mmoja khaa na kawatoa nock out
Wakifanya wengine wamecopy idea[emoji23] [emoji23]Ukiona Music Video Hit ya Alikiba inafanana na Music Hit za Mbeleee ujue Alikiba ni International level.
Sent using Jamii Forums mobile app
naona umeweka avatar picha ya DIAMOND..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni mtazamo wako si lazima tufanane mawazo.
hahahahahahaaaaa we bwege umenfanya nmecheka kwa sauti....aisee hawakawii kuna na Cinderella hawa jamaaWanachokera wcb ni kukopi idea. Zilipendwa ilishaimbwa na matonya. Wamebadilisha beat alafu itaitwa heat song.
Nasubiri copy ya sinderela
pole bw nusu hela njoo kiumeni kazi tu maneno madalee na kukopNyimbo ya matonya hiyo zilipendwa.
Nawapenda ila sio kwa copy hizo
Angekuwa mond tusingelalADuuub kaiga kila kitu.hata beat inavyoanza,wasanii wetu hawana ubunifu kabisa.