Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Sorry mi sio mtanzania mwenye akil za kitanzania..we kama akil zako zimekaa kitanzania tanzania ujue umeshakwama maisha,kama unaona ww unashinda mitandaon halaf hupat faida umekwama tayar,mitanzania bana basi hapo hata kazi hataki fanya kutwa kushinda kijiweni na kila siku kuwapa watu moyo wa ntawasimulia story..we kama unajua weka madini juu ya meza zaidi ya hapo ni kuchafuana na kutafuta kiki tu...drake mwenyewe mbele wamemchana amezaa na malaya ije kua weye na story yako na mzee yusuph...shubamiit
haya bana Muzungu...emancipate yourself from mental slavery....Hamna kitu kibaya kama usengenyaji hata Mungu hapendi kama unafact kuhusu mtu zitoe or else ni umbea tu na kumchafulia ustaadh wa watu aliyeamua kuikimbilia pepoSorry mi sio mtanzania mwenye akil za kitanzania..we kama akil zako zimekaa kitanzania tanzania ujue umeshakwama maisha,kama unaona ww unashinda mitandaon halaf hupat faida umekwama tayar,
Wap nmesema mm muzungu? Ndo maana nakuambia jarib kua na akil ya ziada,na subira sio kila kitu kinakuja kwa wakat unaotaka? Unasema namchafua are you serious mkuu??nafanya ving na mzee yusuph kijana,alisema atasema mwenyewe muda ukifika so kwa nn mm nianze kumsemea? Atakaposemanyy kwanza kikichonyuma na kisababish hapo naweza kuweka nam lote nalojua,so kwa ss kua na subira.. Donehaya bana Muzungu...emancipate yourself from mental slavery....Hamna kitu kibaya kama usengenyaji hata Mungu hapendi kama unafact kuhusu mtu zitoe or else ni umbea tu na kumchafulia ustaadh wa watu aliyeamua kuikimbilia pepo
Yeye mwenyewe mzee Yusufu alisema kaacha muziki ili amrudie Mungu,sasa kama wewe unajua zaidi kuliko muhusika mwenyewe hongera sana,Unajua kilicho nyuma ya pazia kuhusu kuacha mziki mzee yusuph? Tulia ukiambiwa hutaamin miaka kumi ijayo.. Ila kumbuka tu kila siri itajulikana
Uwe unasoma comment na kuzielewa kwanza kabla hujaamua kuzijibu,nimesema;Kwa hapa bongo aina ya pesa hiyo labda uende uichukue moja kwa moja kule wanapofanya printing ya pesa yenyewe, ila ukiona imeingia kwenye mzunguko tu hiyo pesa sio safi. Haujawahi sikia pesa iliyotumika kuulia ndio hiyo hiyo ilifutwa damu kisha ikatumika kununulia Msahafu au Biblia.?
Ni concept tu mnashindwa kufahamu pesa ipi halali na ipi haramu.Kwa hapa bongo aina ya pesa hiyo labda uende uichukue moja kwa moja kule wanapofanya printing ya pesa yenyewe, ila ukiona imeingia kwenye mzunguko tu hiyo pesa sio safi. Haujawahi sikia pesa iliyotumika kuulia ndio hiyo hiyo ilifutwa damu kisha ikatumika kununulia Msahafu au Biblia.?
Amemaanisha dini ya ali kiba inauchukulia mziki kama kitu kibaya kabsa so ni haram hivyo pesa alizonunulia hizo sadaka pia n haramu kwa vile zimetokana na kazi yake ya haramuKwa hapa bongo aina ya pesa hiyo labda uende uichukue moja kwa moja kule wanapofanya printing ya pesa yenyewe, ila ukiona imeingia kwenye mzunguko tu hiyo pesa sio safi. Haujawahi sikia pesa iliyotumika kuulia ndio hiyo hiyo ilifutwa damu kisha ikatumika kununulia Msahafu au Biblia.?
wengine wakati tuna soma... na hatukuwa na boom lakini tulikuwa tuna saidia homeless people... yatima nk... kwa uwezo tulio kuwa nao japo haukuwa mkubwa saaaaana... lakini tulijitaidi...! na hasa baaada ya wanafunzi wenzangu kuona nimeweza nao wakaungana nami... waliisi kutoa ni mpaka uwe na mamilioni majumba na magaari mazuri nk...Wewe ata kijiko sidhani kama ushawahi kutoa kwa yatima
ndo wale type ya watu utasikia jana nilikua na kikwete aisee tumekunywa naye sana bia..ilimradi aonekane yupo kwe system....sasa mtu kashakwambia usiseme unakuja hapa na pressumption zako si ndio umbea huo mwanaume kushindwa kukaa na kitu moyoniYeye mwenyewe mzee Yusufu alisema kaacha muziki ili amrudie Mungu,sasa kama wewe unajua zaidi kuliko muhusika mwenyewe hongera sana,
Mwingine aliyeacha muziki ili amrudie Mungu wake ni Suma lee,vipi na yeye tusubiri kuna siri imefichika? Teh! Teh!