Ali Kiba hafai, ameanza mazungumzo kununua uwanja wa ndege Shinyanga

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Nimeamini Kiba anafanya mambo makubwa sema ni vile hataki shobo tu.

Alikiba ameanza mazungumzo na mamlaka husika mkoani Shinyanga kuhusu kupata kibali cha kununua uwanja wa ndege uliokuwa ukitumika na mgodi wa dhahabu uliofungwa.

Baada ya kukamilika kwa manunuzi hayo Alikiba atajenga studio kubwa ya muziki pembeni ya uwanja huo ambapo atakuwa anawaalika marafiki zake kutoka duniani( R Kelly, Yvone Chakachaka nk ) kuja kurekodi kwenye studio hiyo.

Pamoja na mambo mengine kutakuwa na majumba ya kisasa, heated swimming pools, kundi la madada warembo, na bustani ya wanyama.
Paaaapilini
 
Weka basi site plan..!! Hiyo mineno mitupu si sawa na kujisemesha tu...!?
 
avata yako ndio akili yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kikubwa nachokumbuka viroba vilipigwa marufuku,hii akili kama si bangi basi ni ukosefu wa usingizi
 
Mnaom-mind mleta mada, mnajua hili ni jukwaa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…