Ali Kiba hujawatendea Haki wasanii wenzako wa Bongo Fleva kwenye album yako

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
762
Reaction score
1,688
Hii binafsi nimeitafsiri kama dharau.

Haiwezekani album yenye nyimbo 16. Usishirikishe hata msanii mmoja wa kibongo kwenye album. Album imejaa wa Nigeria, Wakenya, wa Ghana na wa South. Ndio kusema Wabongo fleva hukuona hata mmoja wa kufanya naye collaboration.

All in all albamu imenikamata.
 
Ni watu gani hao...
 
Nchi kama Tanzania inabidi kujivunia sana kuwa na mwanamuziki kama ALIKIBA.
 
Album ya kimataifa ndo mana hakuna wa tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…