Ali Kiba kafanyia nini mziki Wa Tanzania

Ali Kiba kafanyia nini mziki Wa Tanzania

carnte

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2017
Posts
362
Reaction score
425
Zaidi ya Diamond ...tujiulize

carnte himself
 
Week hii hizi team mbili zimechafua mitandao ya kijamii sana
 
Kiba hajawahi kuhangaika na Diamond ila Diamond ndio huanzisha malumbano kila anapoona hawazungumziwi kwenye ugomvi, Kiba amemjibu modi kuwa najua hunipendi 100% baada ya modi kuimba kuwa analazimisha kuvaa pensi, baada ya hapo kiba katoa nyimbo mondi kaweka kicheko cha dharau mwenzake amejipatia watazamaji wa kutosha, sasa why uulize Kiba kaufanyia nini muziki zaidi ya modi?! Kiba anaimba kama ambavyo mondi anaimba... Unaweza kumtoa mswahili uswahili lakini huwezi kuutoa uswahili ndani mwake, Mondi mswahili anapenda kujikweza..
 
Alikiba ni kama alivyo Wema Sepetu, hakuna cha maana walichofanya zaidi ya kuwa na nyota ya umaarufu tu.
 
Kiba hajawahi kuhangaika na Diamond ila Diamond ndio huanzisha malumbano kila anapoona hawazungumziwi kwenye ugomvi, Kiba amemjibu modi kuwa najua hunipendi 100% baada ya modi kuimba kuwa analazimisha kuvaa pensi, baada ya hapo kiba katoa nyimbo mondi kaweka kicheko cha dharau mwenzake amejipatia watazamaji wa kutosha, sasa why uulize Kiba kaufanyia nini muziki zaidi ya modi?! Kiba anaimba kama ambavyo mondi anaimba... Unaweza kumtoa mswahili uswahili lakini huwezi kuutoa uswahili ndani mwake, Mondi mswahili anapenda kujikweza..
Sasa hapo umejibu swali au umeanzisha mada yako na ww....mjadala ulikua kaifanyia muzik wa tz,. ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom