Ali kiba kajiandae vs Diamond kokoro

Mistari aliyoandika kiba ni verse za kawaida sana ambazo ata underground anaweza chora

Lkn kwny mistar ya mond kaonyesha utofauti kidogo
 
Mistari aliyoandika kiba ni verse za kawaida sana ambazo ata underground anaweza chora

Lkn kwny mistar ya mond kaonyesha utofauti kidogo
What's so special kwenye hizo lines za diamond? Maana mi naona kawaida sana au kilichokuchanganya ni izo -re -le?
 
Imekuchomaa eeeeh...iache ipenye
Haiwezi kunichoma mie koz sina majungu ya kike kma yako hujui lolote kuhusu muziki then unakoment ujinga wako bila facts,kaa kimya usilete mihemko ya uswahilini hapa
 
Haiwezi kunichoma mie koz sina majungu ya kike kma yako hujui lolote kuhusu muziki then unakoment ujinga wako bila facts,kaa kimya usilete mihemko ya uswahilini hapa
Ww unaejua kuhusu mziki una single ngapi au unaropokwa tu.....kila mtu na mtazamo wake so ukiona mtazamo wng haujaupenda pita iv
 

hujielewi kabisaaaaaaaaaaaaaa bora ukae kimya usipende kuropoka
 
Hhhhh kweli kila mtu na msalaba wake naona wengine msalaba wao diamond wengine msalaba wao kiba,mimi nasoma coment za wabeba misalaba tuuuu hhhhhhhh
 
Watu ali kiba wanajua njia rahisi ya kumuweka jamaa yao juu ni kumfananisha na mondi.lakin ali kiba ata rayvan bado anasubiri sana
 
Izo line za kiba, msanii wa aina yyt ata underground anaweza chora coz hazina ubunifu wwt ni verse za kawaida sanaa tena sana......ila za domo zipo ki creative kidogo
Njia je?..pita njia za kiba uchanike koo Hahahaaaa kambaaaaf
 
Tukiacha ushabiki katika uandishi wa mashairi Diamond yupo vizuri ila kama tutabaki tu kung'ang'ani u'king tu basi tukumbuke siku zote mfalme nyani atabaki kuwa mfalme kwa nyani wenzake tu.
Hujanya umeharaaa...uandishi barnaba ,bele,Ali kiba unawaacha wapi?..naona anakunyakunya tu hapo hamna kitu.
 
Haya weka na ya Karim au nyimbo yyte ya ALIKIBA uone ELIMU iliyomo ndani yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…