baba anjela
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 431
- 310
Kiukweli kilichotokea fiesta ni aibu kubwa kwa Kiba,sasa shabiki anasema Diamond hana jipya,hili linaukweli ndani yake?
Kitoronto kimetawala kila kona.Sasa kati ya Kiba na Diamond ni nani hana jipya?
Mdogo wangu Kiba jua muziki ni kama mpira au michezo mingine,leo kuna huyu kesho yule.Kwahiyo wewe hutakuwa wa kwanza kushuka katika mziki.
Nikukumbushe waliokuwepo katika peak na sasa wameshuka mfano Mr.Nice,Tid,mr.Blue,Dudubaya,Richard Matumla,Juma Kaseja,Maneno Osward,Juma Nature,Inspector Haroun na wengine wengi tu.
Wengine walikubali matokeo,wengine walikuwa wabishi kukubali na mwisho walipoteza pesa nyingi kurudisha jina na hawakufanikiwa,walipoteza hata kile ambacho kingewasaidia baadae.
Mimi naamini hata Diamond pia atashuka na wengine watapanda sababu hakuzaliwa na muziki.
Kitoronto kimetawala kila kona.Sasa kati ya Kiba na Diamond ni nani hana jipya?
Mdogo wangu Kiba jua muziki ni kama mpira au michezo mingine,leo kuna huyu kesho yule.Kwahiyo wewe hutakuwa wa kwanza kushuka katika mziki.
Nikukumbushe waliokuwepo katika peak na sasa wameshuka mfano Mr.Nice,Tid,mr.Blue,Dudubaya,Richard Matumla,Juma Kaseja,Maneno Osward,Juma Nature,Inspector Haroun na wengine wengi tu.
Wengine walikubali matokeo,wengine walikuwa wabishi kukubali na mwisho walipoteza pesa nyingi kurudisha jina na hawakufanikiwa,walipoteza hata kile ambacho kingewasaidia baadae.
Mimi naamini hata Diamond pia atashuka na wengine watapanda sababu hakuzaliwa na muziki.