Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
kajaa jaziba tu na mwijaku wake .yani yule mtu sijui akizeeka hata jiangalia vipi kwa ule ujinga mwijakuHv yupogo huyu?
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kuulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki, kumtukana nakutudhihaki.Mimi sio mpenzi wa miziki ya vijana japo utakuta bar na harusini ila huyu mtoto anapaswa kuogopwa japo kijana mwenzake alikiba ni mtu wakukunja sana kama ulivyo asili ya mkoa wao walipotokea.
Kwa steji aliyofikia huyu kijana tunapaswa kujisifu kwa kupeleka soko la mziki na kuhamsha vijana wengine wafike kama huko.
Alikiba mpigie makofi kwa As-salamu alaykum maana wewe uwapendi wasio na imani yako.
itakuwa nimekugusa kwenye kidole cha kati swala la imaniUnaongea kama fala umeandika ujinga usioeleweka,
ampongeze kwa lipi?
Kafanya nini mpaka alikiba ndo ampongeze?
Kamkunjia wapi?
bado v8 toka motoni sijaondoka kuja dunianiMkuu wa arusha yupo wapi jamani
Kaka Kiba kwema?.Unaongea kama fala umeandika ujinga usioeleweka,
ampongeze kwa lipi?
Kafanya nini mpaka alikiba ndo ampongeze?
Kamkunjia wapi?
Kijamaa ni kipimbi sana, kina roho ya kichawi..Ali Kiba anakuwaga na ufala sana. Mtu kama yule hafai hata kuishi nae jirani. Yaani yeye ni mtu wa visababu tu kama shoga.
InshaAllah tutamuenzi Imaam Hussein kwa kazi nzuri aliyoifanya katika uislam. Wanaomdhihaki ni wasioujua uislam.Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kuulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki, kumtukana nakutudhihaki.
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Kajilipue huko ndio kazi yakoUmeandika kama vile umeinamishwa.