Kukaja Kununu
JF-Expert Member
- Mar 27, 2017
- 1,077
- 1,208
Kuwa signed na label kubwa dunian Sony na mengne ya kulitangaza taifaMafanikio gani?
Sikulaumu kwa vile lugha yenyewe imekuja kwa ndege,kama si hivyo basi mahaba yamekugaragaza hadi upotoshaji ndio unaufanya ndio usahihi,hebu mtafute mtu akutafasirie (maana nikikutafasiria mimi nitaonekana nimetia chumvi)Hatimaye msanii na mwanamuziki Ali Saleh Kiba amekuwa director (mkurugenzi) wa kampuni ya kusimamia mziki Afrika Rockstar 4000 na Rockstar television. Ali kapewa nafasi ya uongozi huo baada ya kuwa chini ya kampuni iyo kwa takriban miaka 6 ya mafanikio.
Ngoma kali sana...Jiwe gizani..kajichubua chubuuu....ommy dimpoz ana utani sana
Upo katika kizazi hiki kwa makosa. Ulipaswa kuwepo wakati wa Luti hukoooooo.Diamond atasubiri sana kwa Mkurugenzi.
Ndo uitie iyo chumvi tuoneSikulaumu kwa vile lugha yenyewe imekuja kwa ndege,kama si hivyo basi mahaba yamekugaragaza hadi upotoshaji ndio unaufanya ndio usahihi,hebu mtafute mtu akutafasirie (maana nikikutafasiria mimi nitaonekana nimetia chumvi)
Ndio mkuu na bado wanaendelea....za kunyapia zinadai FA nae soon anasignNaona wamemsign dimpoz kwa pozi
Kweli mkuu huyu n fundiiDiamond atasubiri sana kwa Mkurugenzi.
ndugu yangu lugha ya kizungu huijui ndo mana unabisha.....mahaba sio mazuri emu soma hayo maelezo ya hapo chini kwene hyo quote ya jamaaNdo uitie iyo chumvi tuone
u nenda iaccount ya rockstar na ubebe dictionary ya TUKINdo uitie iyo chumvi tuone
Sijaona kile kipensi cha Kaoge insta.nenda account ya insta ya rockstar afu soma habari kiufasaha.....kumbuka dictionary ya TUKI itakusaidia