Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kusubiri idhini ya Ali Kiba, acha hizo zako wewe!Kulikuwa hakuna namna! Bob junior alikuwa tayari kuhatarisha urafiki wake na kiba lakini sio kukiacha kichwa kilichokuwa na kila dalili ya kuwa 'A list' artist.. Kiba ikambidi tu awe mpole l..
ushabiki ukiuendekeza sana unakuwa ujinga..hahhaha umemshushua utamu hehehe
Hujui unachokiongea we we soma vizuri uelewe ndo uchangieUmeona bila kutaja WCB thread isingepata wachangiaji? Au ndio kiki ya kusindikiza release ya huo wimbo?
Tatizo hamjiamini, si kila kiki mtafutie kupitia mgongo wa Diamond.. Hata mtoto ananyonya miezi kadhaa mpaka miaka miwili ila sio miaka yote mnataka kubebwa tu!!
Mkuu pwilo,
Umekosea sana kumuhusisha Simba na tofauti iliyopo kati ka kiba na aby daddy! (Kama tofauti zao zimekuwa kubwa kiasi hicho)
Kuhusu wimbo wa kokoro:
Wimbo huu haujarekodiwa juzi juzi kama unavyodhani.. Wimbo umerekodiwa kabla mavoko hajamwaga wino rasmi wcb (ndio walikuwa kwenye mazungumzo)
Kwahiyo kipindi mavoko ameingia rasmi wcb tayari alikuwa na huu wimbo ukiwa umeingizwa verse moja tayari na ulikuwa na chorus tofauti kidogo na hii chorus ya sasa (zinafanana kidongo ingawa).
Na ieleweke kuwa mavoko pia anazo nyimbo nyingine nyingi hazijatoka zimerekodi kabla hajaingia wcb!
So miezi kama miwili iliyopita baada ya kukubaliwa kuwa wimbo huu utoke na kufanyiwa video, kilichofanyika ni kuurekebisha kiasi na kuuboresha... Ndio hapo Simba akaingiza verse yake na kuingiza sauti kwenye chorus.. Kisha Laizer akaujazia vionjo vichache na kuufanyia 'mastering'..
Hicho ndicho kilichofanyika..
Si sawa kumuhusisha Diamond na kila kitu cha Kiba kinachoenda kombo!
Kwa niaba ya mashabaki wote wa Diamond platnumz na WCB, tuwaoombee heri Kiba na Abby Daddy wafikie muafaka na waendelee na kazi.. Tunahitaji wasanii wengine waongezeke kuiwakilisha Tanzania kimataifa! Kiba kukosana na Abby daddy ni setback na sio suala linalosogeza mziki wetu..
The Bold.
Yataisha kipindi ambacho Producers watapoamka na kuwa na ushirikiano wao kwa pamoja, maana naskia wanalipwa hela kidogo sana wakitengeneza nyimbo hata Master J alilalamika sana sema hawana ushirikiano kabisaHaya mambo yataisha lini bongo
Mkuu IPO hivi abydad na management ya kiba walishakubaliana siku ya kutoa wimbo ila cha ajabu jamaa kabadilika ghafla ndo jamaa wakaunganisha dot huenda wcb wanahusika kwa ila sio directlyMkuu pwilo,
Umekosea sana kumuhusisha Simba na tofauti iliyopo kati ka kiba na aby daddy! (Kama tofauti zao zimekuwa kubwa kiasi hicho)
Kuhusu wimbo wa kokoro:
Wimbo huu haujarekodiwa juzi juzi kama unavyodhani.. Wimbo umerekodiwa kabla mavoko hajamwaga wino rasmi wcb (ndio walikuwa kwenye mazungumzo)
Kwahiyo kipindi mavoko ameingia rasmi wcb tayari alikuwa na huu wimbo ukiwa umeingizwa verse moja tayari na ulikuwa na chorus tofauti kidogo na hii chorus ya sasa (zinafanana kidongo ingawa).
Na ieleweke kuwa mavoko pia anazo nyimbo nyingine nyingi hazijatoka zimerekodi kabla hajaingia wcb!
So miezi kama miwili iliyopita baada ya kukubaliwa kuwa wimbo huu utoke na kufanyiwa video, kilichofanyika ni kuurekebisha kiasi na kuuboresha... Ndio hapo Simba akaingiza verse yake na kuingiza sauti kwenye chorus.. Kisha Laizer akaujazia vionjo vichache na kuufanyia 'mastering'..
Hicho ndicho kilichofanyika..
Si sawa kumuhusisha Diamond na kila kitu cha Kiba kinachoenda kombo!
Kwa niaba ya mashabaki wote wa Diamond platnumz na WCB, tuwaoombee heri Kiba na Abby Daddy wafikie muafaka na waendelee na kazi.. Tunahitaji wasanii wengine waongezeke kuiwakilisha Tanzania kimataifa! Kiba kukosana na Abby daddy ni setback na sio suala linalosogeza mziki wetu..
The Bold.
Tatizo mnapenda sana historia [emoji1]Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kusubiri idhini ya Ali Kiba, acha hizo zako wewe!
Unataka kusema Bob Junior alirekodi Kamwambie bila idhini ya Ali Kiba?[emoji15]
Aje ina remix ngapi mkuu...Mkuu IPO hivi abydad na management ya kiba walishakubaliana siku ya kutoa wimbo ila cha ajabu jamaa kabadilika ghafla ndo jamaa wakaunganisha dot huenda wcb wanahusika kwa ila sio directly
Najua diamond hawezi Ku record kwa abydad ndo maana alikataa kushiriki kwenye wimbo wa mkungu wa ndizi ndo wakaitoa hivyo ndo maana hapo nimesema not confirmedMkuu pwilo,
Umekosea sana kumuhusisha Simba na tofauti iliyopo kati ka kiba na aby daddy! (Kama tofauti zao zimekuwa kubwa kiasi hicho)
Kuhusu wimbo wa kokoro:
Wimbo huu haujarekodiwa juzi juzi kama unavyodhani.. Wimbo umerekodiwa kabla mavoko hajamwaga wino rasmi wcb (ndio walikuwa kwenye mazungumzo)
Kwahiyo kipindi mavoko ameingia rasmi wcb tayari alikuwa na huu wimbo ukiwa umeingizwa verse moja tayari na ulikuwa na chorus tofauti kidogo na hii chorus ya sasa (zinafanana kidongo ingawa).
Na ieleweke kuwa mavoko pia anazo nyimbo nyingine nyingi hazijatoka zimerekodi kabla hajaingia wcb!
So miezi kama miwili iliyopita baada ya kukubaliwa kuwa wimbo huu utoke na kufanyiwa video, kilichofanyika ni kuurekebisha kiasi na kuuboresha... Ndio hapo Simba akaingiza verse yake na kuingiza sauti kwenye chorus.. Kisha Laizer akaujazia vionjo vichache na kuufanyia 'mastering'..
Hicho ndicho kilichofanyika..
Si sawa kumuhusisha Diamond na kila kitu cha Kiba kinachoenda kombo!
Kwa niaba ya mashabaki wote wa Diamond platnumz na WCB, tuwaoombee heri Kiba na Abby Daddy wafikie muafaka na waendelee na kazi.. Tunahitaji wasanii wengine waongezeke kuiwakilisha Tanzania kimataifa! Kiba kukosana na Abby daddy ni setback na sio suala linalosogeza mziki wetu..
The Bold.
Kwa sababu Kiba ni 'mwana', ye kama vipi 'akajiandae' alaf 'aje' WCB Kwa Laizer afanye ngoma, Simba 'atagharamia' na bifu aliweke tu 'far away' kiroho safi ![emoji12] [emoji124][emoji124]Tunampa ofa ya kurekodi ngoma moja na Laizer, tunajua anataka ila anashindwa kusema.. Mpeni taarifa # aje wasafi studios wala asiogope [emoji23] [emoji23]
Sasa mbona nimeiskia mara kadhaa sehemu tofauti tofauti au ilivuja?Ndo hiyo mkuu ft mi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimependa ubunifu wako.Kwa sababu Kiba ni 'mwana', ye kama vipi 'akajiandae' alaf 'aje' WCB Kwa Laizer afanye ngoma, Simba 'atagharamia' na bifu aliweke tu 'far away' kiroho safi ![emoji12] [emoji124][emoji124]