Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hakuna bifu kati ya Diamond na alikiba bali mashabiki ndo hutengeneza bifuKuna watu wanapenda bifu la Alikiba na Diamond liendelee kuwepo wakidai lina manufaa kiuchumi huu ni ujinga hakuna chuki zenye faida my brothers chukua mfano wa mastar wenzenu Tekno & Wizzy Kid malizeni tofauti zenu.
Hata Burundi ni International.Diamond ni International Super Star wewe...
Hawezi kuwa na bifu na watoto hao. Wanajipendekeza wenyewe ili walau waendelee 'savaivu'..
Tekno hajawahi kuwa na bifu na Wizkid...Labda Davido na Wizkid..Kuna watu wanapenda bifu la Alikiba na Diamond liendelee kuwepo wakidai lina manufaa kiuchumi huu ni ujinga hakuna chuki zenye faida my brothers chukua mfano wa mastar wenzenu Tekno & Wizzy Kid malizeni tofauti zenu.
View attachment 629857
Acha tuTeam mondi katika ubora wake.
Acha uongo weweWalikuwa ni paka na panya