Tekno hajawahi kuwa na bifu na Wizkid...Labda Davido na Wizkid..
Waliwahi kuwa na vita fupi sana ya maneno!!Acha uongo Tekni miles na Wizkid hawajawahi kuwa na bifu hata chembe.... Nigeria bifu ni wizkid na davido... Don Jazzy na Olamide rudi chimbo ukaje na data
Sasa hiyo sio beef, ndio maana tukasema Wizkid hawezi kuwa na beef na Tekno sababu ni mdogowake kwenye muzikiWaliwahi kuwa na vita fupi sana ya maneno!!
Kama inavyofahamika, bifu ni kati ya Davido na Wiz Kid. Davido alivyotoa Summer Body ft Olamide, kulikuwa na mistari ya kum-diss Wiz Kid ambae hapo kabla alim-diss Davido kwamba ni local.
Baada ya diss ya Davido, WizKid nae akajibu! Baada ya Wiz kujibu diss ya Davido; hapo ndipo akaingia Tekno na moja ya tweet ya Tekno akimlenga Wiz Kid alisema ni suala la muda tu itafahamika ni nani hasa yupo international!
Ujumbe wa Tekno ulimchoma Wiz na ndipo akamjia juu na kumfananisha Tekno sawa na Motorola na kwahiyo inapotokea iPhone & Samsung zinagombana, yeye Motorola anatakiwa kufunga mdomo!
Nimesema "Vita vya Maneno!" Na nikasema wazi bifu ni kati ya Davido na WizKidSasa hiyo sio beef, ndio maana tukasema Wizkid hawezi kuwa na beef na Tekno sababu ni mdogowake kwenye muziki
naskia kichuguu kimewakimbiza afrimma na aje rmx hahahahahaaa mkamuone pschologistWizkid ni mlima,Tekno ni kichuguu.Nadhani Tekno analazimisha beef.
Diamond ni mlima,Alikiba ni kichuguu.Nadhani Alikiba analazimisha beef.
Huu ndio ujinga wenyewe. Badala ya kushauri bifu liishe, unaji boost kwa mambo ya kijinga. Hebu kua basi.Diamond ni International Super Star wewe...
Hawezi kuwa na bifu na watoto hao. Wanajipendekeza wenyewe ili walau waendelee 'savaivu'..
Sasa hapa umetoa ushauri au umekoleza bifu?Wizkid ni mlima,Tekno ni kichuguu.Nadhani Tekno analazimisha beef.
Diamond ni mlima,Alikiba ni kichuguu.Nadhani Alikiba analazimisha beef.
Hujielewi...Huu ndio ujinga wenyewe. Badala ya kushauri bifu liishe, unaji boost kwa mambo ya kijinga. Hebu kua basi.
HauelewekiHujielewi...