Kayenga jr
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 443
- 349
Gigy ndio level yake sasaHuyu Gigy bangi zimemzidi, hajui kuwa Kingkiba level zake kwa sasa ni wakina Rihana? Aache ujinga kabisa
hata kama kingkiba angekuwa anatumia cha Arusha hawezi kufanya hiki.
Huyu Gigy bangi zimemzidi, hajui kuwa Kingkiba level zake kwa sasa ni wakina Rihana? Aache ujinga kabisa
Jokate na wenzake ni Janga la Maadili Tanzania, Ni aibu, aibu, aibu, hawana tofauti n ahao madada poa wanaosakwa na Sro huko mjini, except kwa exposure ya kutoka familia kubwaDuhh!
Eeeh! Haya.Huyu Gigy bangi zimemzidi, hajui kuwa Kingkiba level zake kwa sasa ni wakina Rihana? Aache ujinga kabisa
Mkuu I salute! Hii ndio haswa inawafanya hawa kina dada washindwe kujitofautisha na changudoa wa Sinza Mori. Wamepata exposure lakini wamekosa creativity, wamekuwa punda wa mapenzi. Siui kama watafika mbali, hili ni janga na ni bomu linalosubiri wakati wa kupasuka.Jokate na wenzake ni Janga la Maadili Tanzania, Ni aibu, aibu, aibu, hawana tofauti n ahao madada poa wanaosakwa na Sro huko mjini, except kwa exposure ya kutoka familia kubwa
hawa wasichama wa dar wa bongo fleva na bongo movie hawana malengo kabisa, nakumbuka wakati Jokate akiwa Udsm aliwahi kuni approach akiniomba niwe mentor wake katika kuingia sokoni kwenye career, hakuwa amesoma kitu kigumu na hivyo asingeshinddwa kupata upenyo kwenye soko given her beauty na exposure nafikiri amewahi kukaa nje, ama anatoka kwenye familia nzuri
Missed opportunity.
Jokate alishakua tofauti kwa kuwa ni scholar tofauti na mabinti wengi mishauo kwenye tasnia hii. kuchaguliwa kwake kucheza sinema iliyogarimu dola 2m za wamarekani ya Siri ya Mtungi was a golden opportunity ya yeye ku excel kule kwa wakina John Ribber, badala yake akapeleka umalaya na kushindwa kuwa win wale wamarekani, sasa karudi tena huku kubanana na zile bongo movie za shilingi milioni 10
si kweli kwamba mapenzi ni upofu
sikubaliani na dhana hii potofu, mapenzi ni chagua, binadamu si dhaifu kama nyama labda atake, hawa mabinti wanatia aibu sana, hawana madaraja, huyu si ndio tuliambiwa anatoka na yule mtanzania wa basketball anayeishi marekani? allishindwa kumshika leo yuko na game boys wa manzese na tandika, atawaweza? kila kijana katembea nae, kama ni kweli, yaani nao wako kama santuri za muziki, leo Diamond, kesho Ali Kiba, kesho kutwa so and so muda umekwisha Jokate. huna tofauti na Wema sasa ni nani atakayekuokota huko shimoni? hata hao wakina Diamond mnaowaona hawana shule, pia wana class zao, wakishatoka huko kwenu tayari nyie ni daraja la chini, wanaenda juu,
waweza ku ji re brand
Hakuna mahali tuliposikia mtu kafa kwa kutokufanywa kwa muda mrefu, hawa watoto wafunge miguu kwa muda wajipange, ili thamani yao na utu wao viweze ku improve. Jokate ulianza na Kidoti vindala, hujatulia, ukaenda sijui wapi, hujatulia, kwa nini hamjifunzi kwa Lady Jay dee anapita kwenye mengi lakini amenng'ang'ania jambo moja kubwa, heshima na kujitunza mwili wake.
Kuna taarifa kuwa katika utafiti usio rasmi uliowahusisha vijana wenye vision wa kitanzania juu ya nanai wanaowaona kuwa ni role models wao na kwa vigezo gani. Wasichana pekee waliotokeza kwenye watu hao ni Flavian Matata, na Faraja kota kwa kigezo kuwa wanajiheshimu na wanafanyakazi zinazoheshimika katika jamii. Hizi takataka nyingine zote za wakina Jokate, Wema nk hazimo humo.
Kwani hata huko USA ambako wanakopy hizo tabia celebrities wametulia katika mahusiano? Mi naona ndo maisha ya wasanii wanaoiga maisha ya westernMkuu I salute! Hii ndio haswa inawafanya hawa kina dada washindwe kujitofautisha na changudoa wa Sinza Mori. Wamepata exposure lakini wamekosa creativity, wamekuwa punda wa mapenzi. Siui kama watafika mbali, hili ni janga na ni bomu linalosubiri wakati wa kupasuka.
Hivi msichachana kama Gigy Money au Jokate wana mapungufu gani mpaka wawe punda wa mapenzi? Ni kukosa fikra au ushamba? Wanategemea mikwanja kutoka kwa kina Wanabongo Fleva matokeo yake hivi sasa kuna wengine wameshaanza kubezwa kwamba wana nuksi, ukitembea nao unapata mikosi, dahhh mpaka inasikitisha!
Kwani huko wanakokopy hizo tabia haswa USA wasanii aka celebrities tabia zao za mahusiano ni nzuri? Mi naona ndiyo staili ya wasanii wanaoiga mambo ya western haijalishi kasoma hadi level gani.Jokate na wenzake ni Janga la Maadili Tanzania, Ni aibu, aibu, aibu, hawana tofauti n ahao madada poa wanaosakwa na Sro huko mjini, except kwa exposure ya kutoka familia kubwa
hawa wasichama wa dar wa bongo fleva na bongo movie hawana malengo kabisa, nakumbuka wakati Jokate akiwa Udsm aliwahi kuni approach akiniomba niwe mentor wake katika kuingia sokoni kwenye career, hakuwa amesoma kitu kigumu na hivyo asingeshinddwa kupata upenyo kwenye soko given her beauty na exposure nafikiri amewahi kukaa nje, ama anatoka kwenye familia nzuri
Missed opportunity.
Jokate alishakua tofauti kwa kuwa ni scholar tofauti na mabinti wengi mishauo kwenye tasnia hii. kuchaguliwa kwake kucheza sinema iliyogarimu dola 2m za wamarekani ya Siri ya Mtungi was a golden opportunity ya yeye ku excel kule kwa wakina John Ribber, badala yake akapeleka umalaya na kushindwa kuwa win wale wamarekani, sasa karudi tena huku kubanana na zile bongo movie za shilingi milioni 10
si kweli kwamba mapenzi ni upofu
sikubaliani na dhana hii potofu, mapenzi ni chagua, binadamu si dhaifu kama nyama labda atake, hawa mabinti wanatia aibu sana, hawana madaraja, huyu si ndio tuliambiwa anatoka na yule mtanzania wa basketball anayeishi marekani? allishindwa kumshika leo yuko na game boys wa manzese na tandika, atawaweza? kila kijana katembea nae, kama ni kweli, yaani nao wako kama santuri za muziki, leo Diamond, kesho Ali Kiba, kesho kutwa so and so muda umekwisha Jokate. huna tofauti na Wema sasa ni nani atakayekuokota huko shimoni? hata hao wakina Diamond mnaowaona hawana shule, pia wana class zao, wakishatoka huko kwenu tayari nyie ni daraja la chini, wanaenda juu,
waweza ku ji re brand
Hakuna mahali tuliposikia mtu kafa kwa kutokufanywa kwa muda mrefu, hawa watoto wafunge miguu kwa muda wajipange, ili thamani yao na utu wao viweze ku improve. Jokate ulianza na Kidoti vindala, hujatulia, ukaenda sijui wapi, hujatulia, kwa nini hamjifunzi kwa Lady Jay dee anapita kwenye mengi lakini amenng'ang'ania jambo moja kubwa, heshima na kujitunza mwili wake.
Kuna taarifa kuwa katika utafiti usio rasmi uliowahusisha vijana wenye vision wa kitanzania juu ya nanai wanaowaona kuwa ni role models wao na kwa vigezo gani. Wasichana pekee waliotokeza kwenye watu hao ni Flavian Matata, na Faraja kota kwa kigezo kuwa wanajiheshimu na wanafanyakazi zinazoheshimika katika jamii. Hizi takataka nyingine zote za wakina Jokate, Wema nk hazimo humo.