Ali Kiba na Jackline Mengi wateuliwa kuwa mabalozi wa tembo

Usijali mine,nshamaliza thnx kwa ushauri wako...huyu mruka stage nshamkamilishia stage zake..
pole km nimekukwazaa....

Good better best. :thumbup::thumbup::thumbup:kkukaa kimya ni jibu zuri sana kwa ......... Yoyote.
 
Good better best. :thumbup::thumbup::thumbup:kkukaa kimya ni jibu zuri sana kwa ......... Yoyote.

uskonde mine...pamoko sana...kiba kiba kibaaaaa

leo alikua high table na nyalandu,jackline mengin,alhad mussa na wageni wengine wa kimataifa...

natamani kichizi nifikie level zile...
raha sannaaaa....!!
 
uskonde mine...pamoko sana...kiba kiba kibaaaaa

leo alikua high table na nyalandu,jackline mengin,alhad mussa na wageni wengine wa kimataifa...

natamani kichizi nifikie level zile...
raha sannaaaa....!!

Safi sana mbwa ukimjua jina hakusumbui kamwe.
Na Leo nimemuona Kiba kwenye habari ya itv.
Wao wamezoe hvo kwa mtu wao. Safi sana Kiba
Hahaaaaa but message sent and delivered.
 
Safi sana mbwa ukimjua jina hakusumbui kamwe.
Na Leo nimemuona Kiba kwenye habari ya itv.
Wao wamezoe hvo kwa mtu wao. Safi sana Kiba
Hahaaaaa but message sent and delivered.


wewe SI ulikua unatuliza Moto humu mbona tena unataka kuyaamsha,muachege unafikii jamanii
Sikuweziii aisee timu hizi tutafika Tu hivyo hivyo
 
Safi sana mbwa ukimjua jina hakusumbui kamwe.
Na Leo nimemuona Kiba kwenye habari ya itv.
Wao wamezoe hvo kwa mtu wao. Safi sana Kiba
Hahaaaaa but message sent and delivered.


mkaka anajielewa sana hadi raha ujue...!!kapendeza na zile dimples za kizushi sasa...
yani yuko na watu wenye heshma zao..!!
MUNGU amsaidie kwa hili...!
 
yaan mi nawashangaa Kuna watu wanafiki humu,huku mnapoza huku mnachocheaaa aiseee siwaweziiii

halafu wewee...niko usukumani ujuee..nataka nije kwako..nikupige picha then nikufungulie thread hapa...!#
 
wewe SI ulikua unatuliza Moto humu mbona tena unataka kuyaamsha,muachege unafikii jamanii
Sikuweziii aisee timu hizi tutafika Tu hivyo hivyo

Ndio nilikua natuliza moto mana kutukana bila sababu sio issue.
Nionyeshe ni wapi nimeyaamsha na wewe excuse me stay away from. And am not hyprocracy eeeeh stop pointing ua finger to me eeeeeh.😱😱😱
 
Mfano nikuulize, geniveros anapocharuana na Kimbley sababu ya kiba na mondi wewe unadhani ina ashiria nini?
Bora hata iwe watu ambao siwafahamu...

Basi mkubali kuacha kumdisi Diamond na sie fans wake tutaacha kujibu, mtu ukiwa na maneno basi inabidi uwe tayari kupokea linalokuja. Maana jina la aliii haliji bila kutaka kumtaja Diamond ka vile walizaliwa tumbo moja na Diamond ni level ingine si mtaje waimbaji wengine mkione pia, Diamond yupo juu mtake msitake alyii hamfikiiii na tunaona wote ni hivyo.

Ni kwamba sie fans wa Diamond hatutaki kama nyie msivyotaka kwa Kiba.

Kesho mkimsema mwingine basi tunaweza ingia pia, maana hamna kitu cha msingi, unataka peace wakati kapicha kako ni Diamond halafu unadisi basi mkidisi nasi tutadisi hadi kieleweke kwa kusinzia.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…