Ali Kiba na Jackline Mengi wateuliwa kuwa mabalozi wa tembo

mkaka anajielewa sana hadi raha ujue...!!kapendeza na zile dimples za kizushi sasa...
yani yuko na watu wenye heshma zao..!!
MUNGU amsaidie kwa hili...!

Anajielewa balaaaa anajua anachokifanya haendeshwi na matukio wala kiki mbuzi vile.
Dimples za kizushi zimempendeza plus u handsome wa nguvu heeeeiya ni shiiida tupu tu ashukuriwe Mwenyezi kwa kumuumba.
Tena watu alio nao ni waheshima zao hahaaaa Beckhamu Jack Chain. Wengine wataishia kuwaona mtandaoni.
 

Sawa.. .. !!
 
yani weweee...ukija lazima nchekee....!!
Ha ha ha ila mbali na kupenda mziki wake huyu kijana napendaga na uswahili wake
"mtakuny* boga" "ndimu mmezizoea chukueni makopo mtapike" "bahari imechafuka nipeni mfuko nitapike" "ukimwaga mboga namwaga ugali natoboa sufuria nazima na moto usipike kabisa" ha ha ha diamond ananchekeshaga huu uswahili kwakweli lol leo anasema atapost picha anapupu mweh
 
halafu wewee...niko usukumani ujuee..nataka nije kwako..nikupige picha then nikufungulie thread hapa...!#


uwiiii unianzishie uzii tena nikikuona nakukimbiaaa haswaaaaaaaaaa
 


yaani zile ndo nafasi zake zenye positive effects ktk jamii pale sasa ndo haswaaa.....!km kina MESSI mabalozi wa unicef(km sikosei),angeline jolie ni balozi pia mtu km justin biba pamoja na uimbaji mzuri sidhani km ana ubalozi wa heshma km huo..
wanasema"u a what u eat"
hongera kiba....!!!!hiyo nafasi usingepewa wewe hapa bongo AY,PROF JIZZLE na wengine km watatu ndo wanastahiki
mavi mengine tupa kuleeer....
jide nae inamfaaaa.....!!!!
skendo peleka ig...duniani kazi tuu!!
 


ananichekeshaga balaaa siachi kumpenda mtu huyuuu atakua juu wengine watafuataa
 
Hhhhhaaaaa Daimond anajua kujibu aiseee SI kwa jibu hili

Sasa hapa si anaambia nyinyi misukule yake? Hivi mtu anayejiheshimu na si mswahili anaweza andika upumbavu huu? Na nyinyi mnashabikia ujinga kama huu poleni, mimi siku Kiba andiike shombo na uswahili kama huu atakoma na dunia ataiona chungu.

Najuwa utakuwa mgumu kuamini nenda jukwaa la siasa siku hizi uone kama Josephine Mushumbushi kama anasogeza puwa yake, maana alikuwa na kidomodomo akidhani heshima tuliyokuwa tunampa Dr Slaa na yeye humu anaweza kuwajibu watu apendavyo tumemnyoosha na ameenyoka na amekata mguu au anaingia kwa fekelo id.

Kwa style hii ya kusifia kila upuuzi mnampoteza huyo dogo lets cal spade a spade hata mimi nina mapungufu yangu huwa nakosea hata maandishi yangu siyo yote yako sawa. Kama mnahisi Diamond ana sifa za Kimungu hakosei hayaaaa tupo hapa tumetandika mkeka kabisa tutasubili saaana lakini itaeleweka tu.
 


yaan wao kumponda Dai au kutuponda sie ni sawa,ukiwagusa weeeee wengine watakuja washaurii,huku wanatoa mabango huku washauri sasa hapo unashauri mavi Tu bora ujitawaze na sabunu Tu ukae kimya
 


hahaahaaaa....si mswahili sie watoto wa uswahilini tunajuana...

maneno ya shomboo..
mpk mtu anaomba poo..!!
hutukani wala nini..unampa mtu mineno mibovu!!mpaka anaisoma kaniki..japoa haina maandishi..!!
yani minenk yake ndo uswahili kulivyoo...
 

Kuna nini kimetokea.? Naona kama pamechafuka.
 


andika kifupi Tu nitakuelewa khaa!!!
 
Alikiba Aling'aa Tangia Zaman Kwenye Mpaka Collabo Na R'Kelly, Ila Alijisahau Sanaaa...
 


mbuzi kafia kwa muuza supu aiseee,nani huaga anaanza kumkoti mwenziee ungelijua Hilo ungemind business zako
Si kwa magazeti hayo,uwaache sasa na wengine wakoment wanavyojisikia hii nchi SI huru bana
Buaaah buaaah,lamba sukari uwe kwenye mood nzuri
 
Nipo chini ya miguu yenu diva na dina nawaomba mchambane Kiswahili bana mchambo wa kiingereza haunogi ha ha ha mnanipa kazi ya kuanza tena kucheki google translation.....ndrukiiii ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…