Labda si show ya Manhattan. Show ya Manhattan (New York City, West Side Highway) ili flop vibaya sana mpaka ikawa aibu.Mbona walisema eti Sold out!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee uliletwa uzi humu kuhusu hizo show kama kawaida aliyesema ukweli alionekana hater......nadhani Kuna tatizo mahali!Labda si show ya Manhattan. Show ya Manhattan (New York City, West Side Highway) ili flop vibaya sana mpaka ikawa aibu.
Very disorganized. Mpaka Diamond aliyetakiwa kuwa main event akawa opening act.
Halafu Diamond si professional, ana zile za kungoja watu wajae, kumbe watu hawajai mpaka mwisho.
Nishaona show ya Everton Blender Dar. Ili flop. Blender alisema show yake ikiwa na watu 10 au 10,000 anapiga vile vile.
Na kweli.
Uwanja wa taifa ulikuwa karibu mtupu, hata watu 500 sijui kama walifika, lakini Blender alipiga bonge la show.
Tafuta video kama unaweza kupata genuine video inayoonesha crowd katika show hiyo.Aisee uliletwa uzi humu kuhusu hizo show kama kawaida aliyesema ukweli alionekana hater......nadhani Kuna tatizo mahali!
Enzi zile diamond walikuwa level moja na davido!
Leo hii hata hapa bongo ana ugomvi na kila media!
Kwanini hawa wanaojiita mameneja hawalioni hilo?
Afu mara nyingi huwa siwapendi watu wanaochukia mafanikio ya mtu wakati wenyewe hawana hata cha kutuonesha.... duuuh wivu huu utatuua.... huyu mond anayesemwa kuwa hawezi kujaza uwanja kaenda huko MADAGASCAR kafanya kufuru.... kajaza uwanja wa mpira... one man army.... Sijui hiz fyokofyoko za nini? Go Simba goooo.....!!!!! Angalia hizo video ndo uone sio kupandikiza chuki tu kwa watu....Labda si show ya Manhattan. Show ya Manhattan (New York City, West Side Highway) ili flop vibaya sana mpaka ikawa aibu.
Very disorganized. Mpaka Diamond aliyetakiwa kuwa main event akawa opening act.
Halafu Diamond si professional, ana zile za kungoja watu wajae, kumbe watu hawajai mpaka mwisho.
Nishaona show ya Everton Blender Dar. Ili flop. Blender alisema show yake ikiwa na watu 10 au 10,000 anapiga vile vile.
Na kweli.
Uwanja wa taifa ulikuwa karibu mtupu, hata watu 500 sijui kama walifika, lakini Blender alipiga bonge la show.
Afu mara nyingi huwa siwapendi watu wanaochukia mafanikio ya mtu wakati wenyewe hawana hata cha kutuonesha...
. duuuh wivu huu utatuua....
huyu mond anayesemwa kuwa hawezi kujaza uwanja kaenda huko MADAGASCAR kafanya kufuru....
kajaza uwanja wa mpira... one man army.... Sijui hiz fyokofyoko za nini? Go Simba goooo.....!!!!! Angalia hizo video ndo uone sio kupandikiza chuki tu kwa watu....
@kiranga katika ubora wake, nafikiri amekuelewa...Sijaongelea mtu, nimeongelea idea, kama una akili fupi lazima utaishia kuona nimeongelea mtu hata kama nimeongelea idea.
Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
Mazee kushare habari kwamba Diamond hakupata watu Manhattan ni wivu? Mimi nashindanaje na Diamond wakati si mwanamuziki na maisha yangu na ya Diamond tofauti kabisa? Naanzaje kumuonea wivu mtu ambaye simjui? Maisha yangu yako poa, nimuonee wivu Diamond kwa nini?
Hizi habari za kuita criticism ni wivu ni moja ya sababu Wwatanzania hatuendelei, hawa wasanii wanatakiwa wajifunze kuwa professionals na kwenda kwenye standards za kimataifa, watu wakisema hilo, hilo si wivu.
Wachukulie kama constructive criticism. Unaelewa constructive criticism ni nini?
Usilete mahaba kwenye watu wanaoongea kwa principles ndefu zaidi ya mihemuko ya ushabiki.
Madagascar si New York City ndugu yangu, sijataja Madagascar, sijui ya Madagascar, nmetaja ya New York City ninakokaa.
Wwapi nimesema Diamond hawezi kujaza uwanja wa mpira?
Nimesema New York City hakupata watu, tena wala sijasema hajapata watu kwa makosa yake, nimeongelea issues za lack of promotion na bad timing.
Ila mtu unayeendekeza ushabiki badala ya kujua kusoma kama wewe utaona nimemlaumu Diamond kwa kukosa watu.
Wakati Diamond si mtu anayefanya promotion ya show yake, kuna promoters na team kubwa tu ambayo ina kazi hii.
Obviously hujui kusoma, una matatizo ya elimu ya msingi na unaendekeza ushabiki zaidi ya uchunguzi wa facts.
Fact ni kwamba show ya Diamond ya New York Cityu ime flop, na hicho ndicho nilichoandika.
Sijaandika Diamond hawezi kujaza uwanja, sijasema hajajaza uwanja Madagascar.
Sasa kwa nini unaleta mambo ambayo mimi sijasema kama mimi nimesema?
Unajua kusoma wewe?
Lots of words lakin nonsence kilichoandikwa...... siwezi kubishana na na wewe coz huna idea na soko la muziki unaandika kulingana na hisia zako zinavokutuma.... so fanya yako usepe....Sijaongelea mtu, nimeongelea idea, kama una akili fupi lazima utaishia kuona nimeongelea mtu hata kama nimeongelea idea.
Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
Mazee kushare habari kwamba Diamond hakupata watu Manhattan ni wivu? Mimi nashindanaje na Diamond wakati si mwanamuziki na maisha yangu na ya Diamond tofauti kabisa? Naanzaje kumuonea wivu mtu ambaye simjui? Maisha yangu yako poa, nimuonee wivu Diamond kwa nini?
Kwa kuandikwa kwenye magazeti kila siku? Wakati mimi napenda privacy katika maisha yangu?
Hizi habari za kuita criticism ni wivu ni moja ya sababu Watanzania hatuendelei, hawa wasanii wanatakiwa wajifunze kuwa professionals na kwenda kwenye standards za kimataifa, watu wakisema hilo, hilo si wivu.
Wachukulie kama constructive criticism. Unaelewa constructive criticism ni nini?
Usilete mahaba kwenye watu wanaoongea kwa principles ndefu zaidi ya mihemuko ya ushabiki.
Madagascar si New York City ndugu yangu, sijataja Madagascar, sijui ya Madagascar, nmetaja ya New York City ninakokaa.
Wwapi nimesema Diamond hawezi kujaza uwanja wa mpira?
Nimesema New York City hakupata watu, tena wala sijasema hajapata watu kwa makosa yake, nimeongelea issues za lack of promotion na bad timing.
Ila mtu unayeendekeza ushabiki badala ya kujua kusoma kama wewe utaona nimemlaumu Diamond kwa kukosa watu.
Wakati Diamond si mtu anayefanya promotion ya show yake, kuna promoters na team kubwa tu ambayo ina kazi hii.
Obviously hujui kusoma, una matatizo ya elimu ya msingi na unaendekeza ushabiki zaidi ya uchunguzi wa facts.
Fact ni kwamba show ya Diamond ya New York Cityu ime flop, na hicho ndicho nilichoandika.
Sijaandika Diamond hawezi kujaza uwanja, sijasema hajajaza uwanja Madagascar.
Sasa kwa nini unaleta mambo ambayo mimi sijasema kama mimi nimesema?
Unajua kusoma wewe?
Wewe unayesema sina idea na soko la muziki, huna idea idea ni nini.Lots of words lakin nonsence kilichoandikwa...... siwezi kubishana na na wewe coz huna idea na soko la muziki unaandika kulingana na hisia zako zinavokutuma.... so fanya yako usepe....
achana nae shoga huyo asiejielewaSijaongelea mtu, nimeongelea idea, kama una akili fupi lazima utaishia kuona nimeongelea mtu hata kama nimeongelea idea.
Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
Mazee kushare habari kwamba Diamond hakupata watu Manhattan ni wivu? Mimi nashindanaje na Diamond wakati si mwanamuziki na maisha yangu na ya Diamond tofauti kabisa? Naanzaje kumuonea wivu mtu ambaye simjui? Maisha yangu yako poa, nimuonee wivu Diamond kwa nini?
Kwa kuandikwa kwenye magazeti kila siku? Wakati mimi napenda privacy katika maisha yangu?
Hizi habari za kuita criticism ni wivu ni moja ya sababu Watanzania hatuendelei, hawa wasanii wanatakiwa wajifunze kuwa professionals na kwenda kwenye standards za kimataifa, watu wakisema hilo, hilo si wivu.
Wachukulie kama constructive criticism. Unaelewa constructive criticism ni nini?
Usilete mahaba kwenye watu wanaoongea kwa principles ndefu zaidi ya mihemuko ya ushabiki.
Madagascar si New York City ndugu yangu, sijataja Madagascar, sijui ya Madagascar, nmetaja ya New York City ninakokaa.
Wwapi nimesema Diamond hawezi kujaza uwanja wa mpira?
Nimesema New York City hakupata watu, tena wala sijasema hajapata watu kwa makosa yake, nimeongelea issues za lack of promotion na bad timing.
Ila mtu unayeendekeza ushabiki badala ya kujua kusoma kama wewe utaona nimemlaumu Diamond kwa kukosa watu.
Wakati Diamond si mtu anayefanya promotion ya show yake, kuna promoters na team kubwa tu ambayo ina kazi hii.
Obviously hujui kusoma, una matatizo ya elimu ya msingi na unaendekeza ushabiki zaidi ya uchunguzi wa facts.
Fact ni kwamba show ya Diamond ya New York Cityu ime flop, na hicho ndicho nilichoandika.
Sijaandika Diamond hawezi kujaza uwanja, sijasema hajajaza uwanja Madagascar.
Sasa kwa nini unaleta mambo ambayo mimi sijasema kama mimi nimesema?
Unajua kusoma wewe?
Mtu anayekaa new york ananiuliza mimi nini maana ya idea? Rudia tena kuzamia labda umezamia mtaa wa mateja ππππππWewe unayesema sina idea na soko la muziki, huna idea idea ni nini.
Diamond majuzi kaja New York City.
Kapiga show.
Hata watu 50 hakupata.
Na kati ya hao 30 walikuja kuwaangalia ma star wa Caribbean. Wabongo walikuwa kama 20 tu.
Nikasema mi nilijua haya yatakuwa hivi kabla hayajatokea.
Wewe ndiye unataja "idea" hapa?Mtu anayekaa new york ananiuliza mimi nini maana ya idea? Rudia tena kuzamia labda umezamia mtaa wa mateja ππππππ
Mtu anayekaa new york ananiuliza mimi nini maana ya idea? Rudia tena kuzamia labda umezamia mtaa wa mateja ππππππ
Ukiona mtu kama huyu huna haja hata ya kujiuliza mara mbilimbili.... kaja kutangaza biashara zake huku.... hakuna mabasha huku bhana kajitangaze kwingine.... Toa koment inayohusiana na mada husika sio kuleta matangazo ya biashara hapaachana nae shoga huyo asiejielewa
Yani swali lako rais wa wabeba box linaonesha jinsi hizi shows zilivyokosa promo.Diamond alikuwa na US tour?
Hawa watu wengine wanahitaji kufuta ujinga kwanza wajue kusoma, kuandika na kuhesabu kabla ya kuanza kubishana hapa.Duh! Unajua kusoma na kuelewa ulichokisoma?
Sawa broe nmekunyaka lakini soko la mziki ni sawa na masoko mengine tu kuna sehemu litabuma na sehemu litabamba.... katika show kumi ambazo mond kafanya US isingewezekana zote akajaza..... afu na ukiangalia ile ya New York ilisababishwa na kubadirisha ukumbi... ule wa mwanzo ilisemekana ulikuwa mdogo... walivobadirisha na idadi ikapungua sana... But nmekuelewa mzee babaWewe ndiye unataja "idea" hapa?
Yap tena vizuri sana....Duh! Unajua kusoma na kuelewa ulichokisoma?
Katika yote uliyoyaandika hapo, kwa nini unafikiri mimi katika maneno yangu niliyoandika nimepingana na neno hata moja ?Sawa broe nmekunyaka lakini soko la mziki ni sawa na masoko mengine tu kuna sehemu litabuma na sehemu litabamba.... katika show kumi ambazo mond kafanya US isingewezekana zote akajaza..... afu na ukiangalia ile ya New York ilisababishwa na kubadirisha ukumbi... ule wa mwanzo ilisemekana ulikuwa mdogo... walivobadirisha na idadi ikapungua sana... But nmekuelewa mzee baba