Hii ID inafanana sana na ID inajiita Alwatan ..Lazima wafundishwe. Wasipofundishwa watapotea.
Wakifundishwa halafu wasifuate mafundisho, hilo ni tatizo lao.
Hagiography is not a strategy to success.
Al-Watan mdogo wangu, tumenyonya ziwa moja na kunywa maji ya bomba moja.Hii ID inafanana sana na ID inajiita Alwatan ..
sina nia mbaya mkuu ila style ya uandishi, majigambo , uwasilishaji wa mada na kila kitu mnafanana .
kwahiyo hao Jamaa wa carrebian walikua na mashabiki wangapi?Diamond majuzi kaja New York City.
Kapiga show.
Hata watu 50 hakupata.
Na kati ya hao 30 walikuja kuwaangalia ma star wa Caribbean. Wabongo walikuwa kama 20 tu.
Nikasema mi nilijua haya yatakuwa hivi kabla hayajatokea.
Jumla kulikuwa na watu kama 50 hivi,Hao wa Caribbean walikuwa kama watu 30 hivi na Diamond alikuwa na kama watu 20 hivi.kwahiyo hao Jamaa wa carrebian walikua na mashabiki wangapi?
Aisee kumbe hiyo ndio ilikuwa hali halisi...dah...sasa mbwe mbwe nyingi kumbe hamna kitu....Diamond majuzi kaja New York City.
Kapiga show.
Hata watu 50 hakupata.
Na kati ya hao 30 walikuja kuwaangalia ma star wa Caribbean. Wabongo walikuwa kama 20 tu.
Nikasema mi nilijua haya yatakuwa hivi kabla hayajatokea.
New York is a busy City.....huyo kijana atajaza watu uswahilini kwenu huko ambako hamna kazi mmejalia umbea...muda wote...alafu mkiambiwa ukweli mnadhani kijana anaonewa wivu kwa kipi??Afu mara nyingi huwa siwapendi watu wanaochukia mafanikio ya mtu wakati wenyewe hawana hata cha kutuonesha.... duuuh wivu huu utatuua.... huyu mond anayesemwa kuwa hawezi kujaza uwanja kaenda huko MADAGASCAR kafanya kufuru.... kajaza uwanja wa mpira... one man army.... Sijui hiz fyokofyoko za nini? Go Simba goooo.....!!!!! Angalia hizo upvideo ndo uone sio kupandikiza chuki tu kwa watu....
Hahahaha, huwezi kusema hamna kitu, Diamond msanii mkubwa, kawajaza uwanja mzima Madagascar tunaambiwa.Aisee kumbe hiyo ndio ilikuwa hali halisi...dah...sasa mbwe mbwe nyingi kumbe hamna kitu....
Kama mtu hajaelewa hapa hata aje professor gani kumwelekeza hata elewaSijaongelea mtu, nimeongelea idea, kama una akili fupi lazima utaishia kuona nimeongelea mtu hata kama nimeongelea idea.
Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
Mazee kushare habari kwamba Diamond hakupata watu Manhattan ni wivu? Mimi nashindanaje na Diamond wakati si mwanamuziki na maisha yangu na ya Diamond tofauti kabisa? Naanzaje kumuonea wivu mtu ambaye simjui? Maisha yangu yako poa, nimuonee wivu Diamond kwa nini?
Kwa kuandikwa kwenye magazeti kila siku? Wakati mimi napenda privacy katika maisha yangu?
Hizi habari za kuita criticism ni wivu ni moja ya sababu Watanzania hatuendelei, hawa wasanii wanatakiwa wajifunze kuwa professionals na kwenda kwenye standards za kimataifa, watu wakisema hilo, hilo si wivu.
Wachukulie kama constructive criticism. Unaelewa constructive criticism ni nini?
Usilete mahaba kwenye watu wanaoongea kwa principles ndefu zaidi ya mihemuko ya ushabiki.
Madagascar si New York City ndugu yangu, sijataja Madagascar, sijui ya Madagascar, nmetaja ya New York City ninakokaa.
Wwapi nimesema Diamond hawezi kujaza uwanja wa mpira?
Nimesema New York City hakupata watu, tena wala sijasema hajapata watu kwa makosa yake, nimeongelea issues za lack of promotion na bad timing.
Ila mtu unayeendekeza ushabiki badala ya kujua kusoma kama wewe utaona nimemlaumu Diamond kwa kukosa watu.
Wakati Diamond si mtu anayefanya promotion ya show yake, kuna promoters na team kubwa tu ambayo ina kazi hii.
Obviously hujui kusoma, una matatizo ya elimu ya msingi na unaendekeza ushabiki zaidi ya uchunguzi wa facts.
Fact ni kwamba show ya Diamond ya New York City ime flop, na hicho ndicho nilichoandika.
Sijaandika Diamond hawezi kujaza uwanja, sijasema hajajaza uwanja Madagascar.
Sasa kwa nini unaleta mambo ambayo mimi sijasema kama mimi nimesema?
Unajua kusoma wewe?
Kama mtu hajaelewa hapa hata aje professor gani kumwelekeza hata elewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga of ALL TIMES!!Sijaongelea mtu, nimeongelea idea, kama una akili fupi lazima utaishia kuona nimeongelea mtu hata kama nimeongelea idea.
Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
Mazee kushare habari kwamba Diamond hakupata watu Manhattan ni wivu? Mimi nashindanaje na Diamond wakati si mwanamuziki na maisha yangu na ya Diamond tofauti kabisa? Naanzaje kumuonea wivu mtu ambaye simjui? Maisha yangu yako poa, nimuonee wivu Diamond kwa nini?
Kwa kuandikwa kwenye magazeti kila siku? Wakati mimi napenda privacy katika maisha yangu?
Hizi habari za kuita criticism ni wivu ni moja ya sababu Watanzania hatuendelei, hawa wasanii wanatakiwa wajifunze kuwa professionals na kwenda kwenye standards za kimataifa, watu wakisema hilo, hilo si wivu.
Wachukulie kama constructive criticism. Unaelewa constructive criticism ni nini?
Usilete mahaba kwenye watu wanaoongea kwa principles ndefu zaidi ya mihemuko ya ushabiki.
Madagascar si New York City ndugu yangu, sijataja Madagascar, sijui ya Madagascar, nmetaja ya New York City ninakokaa.
Wwapi nimesema Diamond hawezi kujaza uwanja wa mpira?
Nimesema New York City hakupata watu, tena wala sijasema hajapata watu kwa makosa yake, nimeongelea issues za lack of promotion na bad timing.
Ila mtu unayeendekeza ushabiki badala ya kujua kusoma kama wewe utaona nimemlaumu Diamond kwa kukosa watu.
Wakati Diamond si mtu anayefanya promotion ya show yake, kuna promoters na team kubwa tu ambayo ina kazi hii.
Obviously hujui kusoma, una matatizo ya elimu ya msingi na unaendekeza ushabiki zaidi ya uchunguzi wa facts.
Fact ni kwamba show ya Diamond ya New York City ime flop, na hicho ndicho nilichoandika.
Sijaandika Diamond hawezi kujaza uwanja, sijasema hajajaza uwanja Madagascar.
Sasa kwa nini unaleta mambo ambayo mimi sijasema kama mimi nimesema?
Unajua kusoma wewe?
Hahhahaha hahaSawa broe nmekunyaka lakini soko la mziki ni sawa na masoko mengine tu kuna sehemu litabuma na sehemu litabamba.... katika show kumi ambazo mond kafanya US isingewezekana zote akajaza..... afu na ukiangalia ile ya New York ilisababishwa na kubadirisha ukumbi... ule wa mwanzo ilisemekana ulikuwa mdogo... walivobadirisha na idadi ikapungua sana... But nmekuelewa mzee baba
Sherrif acha kupotea hivo banaaa!!Aliimba World Cup inauguration ceremony pia
Sherrif acha kupotea hivo banaaa!!
Ona mpk hujui kuwa hakuimba hiyo siku