umeimiss ban, ngoja mod waje wakusome na mada zako za mwendokasi ππππKweli mziki wa bongo flava unapaaa maana si kazi rahisi msanii wa bongo flava kuhudhuria na kutumbuiza kabisa siku ya kuapishwa rais mteule wa marekan bwana trump
Kwa taarifa rasmi kutoka white house zimethibitisha kuwa kiba utakuwa ni mmoja wa wanamziki walioalikwa kutumbuiza siku trump anaapishwa
Tumtakie kila la kheri king kiba ili akatuwakirishe vizur wana wa tz....bongoflava to the world....!!!
Sawa kidotiOke ZARI tumekusikia.
Sawa zabibu kibahaya mama CHIBU
Kwani siku izi kiba anaimba kisingeliUmeskia trump anataka singeli????