Ali Kiba: Sina uhusiano na Jokate

Joined
Jan 11, 2015
Posts
14
Reaction score
7
Akiongea kupitia Friday Night Live kipindi kinachorushwa Live kupitia East Africa Television na kurushwa na East Africa Radio, msanii mwenye dili na Sony Music ALI KIBA aliulizwa swali kuhusu mahusiano yake na Miss Tanzania number 2 wa mwaka 2006 Jokate Mwogelo, ALI KIBA alisema hana uhusiano na JOKATE na alipoulizwa kuhusu dada yake kuwa na urafiki na Jokate alisema wanawake huwa ni marafiki na ndo maana huwa wanaitana mpaka baby.
 
Katika gazeti la Risasi amenukuliwa akisema hatomrudia tena Jokate. Je neno kumrudia linawakilisha nini?

Asilete uongo aseme tu Gigy ndiye chanzo cha yote hayo.
 
Maskin wa kumoyo jokate namkubali sana ila mpnz yanataka kumbadili aonekane mchachu km wngne!!!kanajitahid sana kuishi kike ila wanaume hawamtendei hki aisee!!!pole yke!!!
 
aachane na vijana atafute mzee mwenye heshima ila hasheem ametua bongo
 
Katika gazeti la Risasi amenukuliwa akisema hatomrudia tena Jokate. Je neno kumrudia linawakilisha nini?

Asilete uongo aseme tu Gigy ndiye chanzo cha yote hayo.
Kumbe kuna watu huwa mnalitumia gazet kama la Risasi kama chanzo cha habar cha kuaminika?[emoji15]
 
Kumbe kuna watu huwa mnalitumia gazet kama la Risasi kama chanzo cha habar cha kuaminika?[emoji15]
udaku huwa wanaandika half truth,truth and lies.Ni chanzo cha kuaminika kwa aina hizo za habari, please tofautisha soft news na hard news
 
Kumbe kuna watu huwa mnalitumia gazet kama la Risasi kama chanzo cha habar cha kuaminika?[emoji15]
Hiyo ni moja ya Source, nyingine ni Gigy mwenyewe ametamka hadharani kuwa wameunganisha vikojoleo. Nayo hutaki?

Kwa taarifa yako bibie Jokate aliposikia kuwa babu K kapakua supu ya Gigy aliumia sana kwa sababu yeye hatoi supu.
 
Joketi mbona anaonekana ni mpole sana vipi anatendwa au anawatenda ........... au ile ya dini ndio kikwazo.
 
Jokate sijui ana tatizo gani ,yaani yeye anaishia kuwa side chick wa masela tu
 
tatizo la jokate wanasema ana bwawa huko chini na linatoa harufu chafu..so wadau wanapiga mara moja tu then hamu ya kurudia inakua hamna?ndio sababu ya kuachwa daily
 
tatizo la jokate wanasema ana bwawa huko chini na linatoa harufu chafu..so wadau wanapiga mara moja tu then hamu ya kurudia inakua hamna?ndio sababu ya kuachwa daily
Acha kumkashifu binti wa watu,si vyema
 
Bado zamu ya Mrisho Mpoto, na yeye ni mwanamuziki pia.
 
Reactions: PNC
Baadhi ya wasichana maarufu wanaojitambua ni K-lyn na Hoyce Temu. Wameolewa na wanakula maisha. Kina Jokate bado wanataka kudate na wanaume mastar wanaishia kutumiwa kama toilet paper. Mwisho wanaamua kuwabemenda wadogo zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…