SHARO GANGSTAR
Member
- Jan 11, 2015
- 14
- 7
Kumbe kuna watu huwa mnalitumia gazet kama la Risasi kama chanzo cha habar cha kuaminika?[emoji15]Katika gazeti la Risasi amenukuliwa akisema hatomrudia tena Jokate. Je neno kumrudia linawakilisha nini?
Asilete uongo aseme tu Gigy ndiye chanzo cha yote hayo.
Ha ha ha. JF pana rahaKumbe kuna watu huwa mnalitumia gazet kama la Risasi kama chanzo cha habar cha kuaminika?[emoji15]
udaku huwa wanaandika half truth,truth and lies.Ni chanzo cha kuaminika kwa aina hizo za habari, please tofautisha soft news na hard newsKumbe kuna watu huwa mnalitumia gazet kama la Risasi kama chanzo cha habar cha kuaminika?[emoji15]
Hiyo ni moja ya Source, nyingine ni Gigy mwenyewe ametamka hadharani kuwa wameunganisha vikojoleo. Nayo hutaki?Kumbe kuna watu huwa mnalitumia gazet kama la Risasi kama chanzo cha habar cha kuaminika?[emoji15]
Kama wolper tuJokate sijui ana tatizo gani ,yaani yeye anaishia kuwa side chick wa masela tu
Acha kumkashifu binti wa watu,si vyematatizo la jokate wanasema ana bwawa huko chini na linatoa harufu chafu..so wadau wanapiga mara moja tu then hamu ya kurudia inakua hamna?ndio sababu ya kuachwa daily