Ali Kiba these are your future haterz

Ali Kiba these are your future haterz

queenkami

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2010
Posts
1,694
Reaction score
1,249
Dear Ali Kiba 4real kuwa makini na hawa watu wanaofurahia kuzomewa kwa Diamond.Hawa watu wanaomchukia Diamond leo ni hawa hawa watakuchukia siku ukifika level za Diamond.Kwa zawadi ya sauti ya kipekee uliyobarikiwa na Mungu nina imani uwezo wa kufika mbali zaidi ya alipo Diamond leo unao.Siku ukifika huko utaamini maneno yangu,hawa hawa watakutungikia sbb za kukuchukia.

Huwa siwaelewi watu wanaoshindwa kufurahia mafanikio ya wengine.
Mim nampenda sana Ali kiba ila huwa nafurahia sana kila Diamond anapokwenda next level.

Mnaomchukia Diamond nawashauri mjifunze tu kumpenda sababu majungu yenu ni kaz bure,hayatamporomosha.Kama mafanikio ya Wenzenu yanawaumiza basi mtakua kwenye maumivu ya miaka mingi coz Diamond is here to stay,he aint go nowhere soon.

Eti ana dharau,na mtadharauliwa sana sababu badala mfikirie jinsi mfanye kuwafikia walioko juu nyie busy kutaka kuwashusha walio juu.Huruma kweni coz hakuna mtu amewahi kushushwa kwa maneno ya majitu yenye roho mbaya wivu chuki na roho za kwanini.Ugly hearted folks.

Zamani nilidhan wanaume hawana wivu,Ila siku hiz kuna wanaume wana wivu mbaya kias kwamba hawaon aibu kukaa na wanawake kupika majungu dhid ya wanaume wenzao.Wanawake kupiga umbea na majungu ni aibu ila si ajabu,ila kwa mwanaume mmmh...waste bullets...shame on yall.

Ali Kiba 4real your Majesty, The vocal King ,long may you reign.


Diamond platnumz your exelence, Mr President, these cyber wizardz gat nah Life
.

Hate me I dont care
 
Umetumia jina la Ali Kiba kutuvutia tuje kumbe ndio walewale...sasa unacholalamika ni nini ilhali thread yako imejaa chuki za waziwazi???bye....sirudi tena kujadili huu ujinga wako
 
We don care too....

Umetumia jina la Ali Kiba kutuvutia tuje kumbe ndio walewale...sasa unacholalamika ni nini ilhali thread yako imejaa chuki za waziwazi???bye....sirudi tena kujadili huu ujinga wako

Acha kulia lia mwanaume jipange malalamiko huwa hayafikishi mahali take actions

Kwa kifupi sana kama kumshabikia Kiba ni wivu kwa Domo naomba mimi aniorodhoshe kama mwanaume namba moja mwenye wivu. Hawa wamechanganyikiwa na wamepoteana kabisa.
 
Ujie watu wengi ilibidi waegemee kwa diamond sababu hawakuwa na alternative (since kiba was silent).
Pia washabiki wengi wa diamond ni coz yuko name Wema so team Wema wanamsapoti km Shem.

Kwa hayo hapo juu sidhani kwamba watamgeuka Sana Sana wa kugeukwa ni diamond coz siku akimzingua Wema na washabiki amekosa. We huoni Siku akizinguana na Wema page yake inajaa matusi?? Akiwa peace ni full shangwe??
Kiba anapendwa sema to kupotea kwake Neil kulifanya shabiki wawe hawana mbadala isipokuwa kwa daimond so kukimbiwa sidhani
Cc Matola
 
Last edited by a moderator:
mh!mwandiko wa mtoa mada unafanana kama anavyoongeaga nanihii maneno matatu kiswazi mawili kidhungu we sio mama nanihii kweli wewe?
 
Hatumchukii dimondo!we simply like Ally K na muziki wake!kwanza waraka mreeefu kumbe umekuja kumwinua huyoo dada ngote!uwiii,buuuuuh!
 
Ujie watu wengi ilibidi waegemee kwa diamond sababu hawakuwa na alternative (since kiba was silent).
Pia washabiki wengi wa diamond ni coz yuko name Wema so team Wema wanamsapoti km Shem.

Kwa hayo hapo juu sidhani kwamba watamgeuka Sana Sana wa kugeukwa ni diamond coz siku akimzingua Wema na washabiki amekosa. We huoni Siku akizinguana na Wema page yake inajaa matusi?? Akiwa peace ni full shangwe??
Kiba anapendwa sema to kupotea kwake Neil kulifanya shabiki wawe hawana mbadala isipokuwa kwa daimond so kukimbiwa sidhani
Cc Matola

Hii idea kuna sehemu nimeiona ni copy and paste au?
 
Last edited by a moderator:
Kiba hana tabia za kiswahili kama za ndomo mtoa mada kajipange

Mbona.alivyokua kwenye ile.project R kelly hakupiga.mikelele kama ya ndomo
 
Kwan Alikiba ana nyimbo gani nzuri? Simpend Diamond but his music Rocks bhana..
 
Mna roho mbaya sana nyie binadamu
.
Kinachofanya mumchukie Diamond ni maendeleo yake.
Hivi kama mnaonesha wivu kias hiki kwa Diamond mnayemuonea kwenye magazet inakuaje huko na ndugu zenu waliofanikiwa?Nyie ndio wale ndugu mnaoweza hata kuloga watoto wa ndugu zenu wasiolewe au wafukuzwe kaz wasizae.
 
Diamond yuko next level ipi? Kiba anamzidi Diamond kitambo.
 
Mna roho mbaya sana nyie binadamu
.
Kinachofanya mumchukie Diamond ni maendeleo yake.
Hivi kama mnaonesha wivu kias hiki kwa Diamond mnayemuonea kwenye magazet inakuaje huko na ndugu zenu waliofanikiwa?Nyie ndio wale ndugu mnaoweza hata kuloga watoto wa ndugu zenu wasiolewe au wafukuzwe kaz wasizae.

Hakuna anayemchukia diamond, msivuruge maoni ya watu bila sababu, issue ni kwamba uwezo wa diamond uko over rated.
 
Wanaosema mnamchukia Diamond bila sababu wanakosea.
Mm najua kinachofanya mumchukie,MAENDELEO YAKE.
period
 
Back
Top Bottom