Dear Ali Kiba 4real kuwa makini na hawa watu wanaofurahia kuzomewa kwa Diamond.Hawa watu wanaomchukia Diamond leo ni hawa hawa watakuchukia siku ukifika level za Diamond.Kwa zawadi ya sauti ya kipekee uliyobarikiwa na Mungu nina imani uwezo wa kufika mbali zaidi ya alipo Diamond leo unao.Siku ukifika huko utaamini maneno yangu,hawa hawa watakutungikia sbb za kukuchukia.
Huwa siwaelewi watu wanaoshindwa kufurahia mafanikio ya wengine.
Mim nampenda sana Ali kiba ila huwa nafurahia sana kila Diamond anapokwenda next level.
Mnaomchukia Diamond nawashauri mjifunze tu kumpenda sababu majungu yenu ni kaz bure,hayatamporomosha.Kama mafanikio ya Wenzenu yanawaumiza basi mtakua kwenye maumivu ya miaka mingi coz Diamond is here to stay,he aint go nowhere soon.
Eti ana dharau,na mtadharauliwa sana sababu badala mfikirie jinsi mfanye kuwafikia walioko juu nyie busy kutaka kuwashusha walio juu.Huruma kweni coz hakuna mtu amewahi kushushwa kwa maneno ya majitu yenye roho mbaya wivu chuki na roho za kwanini.Ugly hearted folks.
Zamani nilidhan wanaume hawana wivu,Ila siku hiz kuna wanaume wana wivu mbaya kias kwamba hawaon aibu kukaa na wanawake kupika majungu dhid ya wanaume wenzao.Wanawake kupiga umbea na majungu ni aibu ila si ajabu,ila kwa mwanaume mmmh...waste bullets...shame on yall.
Ali Kiba 4real your Majesty, The vocal King ,long may you reign.
Diamond platnumz your exelence, Mr President, these cyber wizardz gat nah Life.
Hate me I dont care
Huwa siwaelewi watu wanaoshindwa kufurahia mafanikio ya wengine.
Mim nampenda sana Ali kiba ila huwa nafurahia sana kila Diamond anapokwenda next level.
Mnaomchukia Diamond nawashauri mjifunze tu kumpenda sababu majungu yenu ni kaz bure,hayatamporomosha.Kama mafanikio ya Wenzenu yanawaumiza basi mtakua kwenye maumivu ya miaka mingi coz Diamond is here to stay,he aint go nowhere soon.
Eti ana dharau,na mtadharauliwa sana sababu badala mfikirie jinsi mfanye kuwafikia walioko juu nyie busy kutaka kuwashusha walio juu.Huruma kweni coz hakuna mtu amewahi kushushwa kwa maneno ya majitu yenye roho mbaya wivu chuki na roho za kwanini.Ugly hearted folks.
Zamani nilidhan wanaume hawana wivu,Ila siku hiz kuna wanaume wana wivu mbaya kias kwamba hawaon aibu kukaa na wanawake kupika majungu dhid ya wanaume wenzao.Wanawake kupiga umbea na majungu ni aibu ila si ajabu,ila kwa mwanaume mmmh...waste bullets...shame on yall.
Ali Kiba 4real your Majesty, The vocal King ,long may you reign.
Diamond platnumz your exelence, Mr President, these cyber wizardz gat nah Life.
Hate me I dont care