MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Angefanya chriss brown mngesema jamaa n Hatar hajamfollow mtu afu ana followers wengi ila kwa kuwa kiba nongwa nyau
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana yule yupo vizuri maana anakopi kwa maendeleo ila KB pumzi imekata kabisa
Kwa fani aliyoichagua, bila SHOWOFF ni ngumu.... Yaani mwanamuziki usiwe na showoff kama FUNDI CHEREHANI..!!! NO WAYmkuu mbona ngoma mpya ipo Sema Alikiba hapend showoff
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo mengine bwana[emoji134][emoji134][emoji134]
Sasa unachoumia nini? Unaacha kuumizwa na maendeleo yako binafsi umekalia ya mwanaume mwenzio!!
Kazi ipo.
Hao mnaowaita wanaume wa Dar kuna siku mtashangazwa nao....Wanaume wa dar hao.. Yan anaumia kabisa anashindwa hata kula [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Angefanya chriss brown mngesema jamaa n Hatar hajamfollow mtu afu ana followers wengi ila kwa kuwa kiba nongwa nyau
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeKiba ni msanii chipukizi anaye kuja kwa kasi
Sent from my iPhone using JamiiForums