Ali Kiba's Birthday

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Ni nadra kuona Alikiba akifanya sherehe kubwa kwaajili ya birthday yake.

Lakini mwaka huu muimbaji huyo wa Aje aliamua kufanya kitu tofauti.

Nimeuuliza uongozi wake sababu ya mwaka huu kufanya sherehe kubwa na tena mbugani. “Yes ni mara chache hufanya party on his birthday,” amesema mmoja wa mameneja wake.

“Aliamua kuja mbugani kwa sababu kuu ni kwa sababu anapenda wanyama pili ni kutumia jina lake kutangaza utalii wa ndani,” aliongeza.

Wafanyakazi wa makampuni mbalimbali ya mbugani yaliungana na uongozi wake kusherehekea siku yake hiyo muhimu ambayo ametimiza umri wa miaka 30.

Chini ni picha zaidi za party hiyo.




 
Safi naona huyu kasherekea mbugani yule mwenzake ali sherekea nyumbani akiwa uchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…