Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
ALI MSHAM NA TAWI LA TANU LA MTAA WA JARIBU DUA YA KUMUOMBEA NYERERE SAFARI YA KWANZA UNO 1955
Picha hiyo na maelezo yake nimerushiwa na mmoja wa wasomaji wa makala zangu za historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Nami kwa kumshukuru nimemwandikia maneno hayo hapo chini:
''Hii picha ni hazina kubwa sana.
Jana TBC walikuja kunihoji na nilimweleza Mzee Msham kwa kirefu.
Bahati mbaya sikuwa najua hayo ya dua ya Mwalimu Nyerere safari ya UNO aliyfanyiwa na Ali Msham na wanachama wa Tawi la TANU la Mtaa wa Jaribu.
Subhanallah Allah anairejesha kwetu historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika kwa njia mtu huwezi hata kufikiria.
Nani hii leo anaemjua Ali Msham na mchango wake?''
Picha hiyo na maelezo yake nimerushiwa na mmoja wa wasomaji wa makala zangu za historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Nami kwa kumshukuru nimemwandikia maneno hayo hapo chini:
''Hii picha ni hazina kubwa sana.
Jana TBC walikuja kunihoji na nilimweleza Mzee Msham kwa kirefu.
Bahati mbaya sikuwa najua hayo ya dua ya Mwalimu Nyerere safari ya UNO aliyfanyiwa na Ali Msham na wanachama wa Tawi la TANU la Mtaa wa Jaribu.
Subhanallah Allah anairejesha kwetu historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika kwa njia mtu huwezi hata kufikiria.
Nani hii leo anaemjua Ali Msham na mchango wake?''