Hii ni nyepesi nyepesi.Nyeti mpya nimezipata sasa hivi "Cash machine" kwenye miradi yake mingi kama sio yote ni YOWERI KAGUTA MUSEVENI.....mwenyewe anabisha atokee.Hizi ni nyeti za ndani kabisa na nizamotomoto hata hazijapoa bado.
Nyeti mpya nimezipata sasa hivi "Cash machine" kwenye miradi yake mingi kama sio yote ni YOWERI KAGUTA MUSEVENI.....mwenyewe anabisha atokee.Hizi ni nyeti za ndani kabisa na nizamotomoto hata hazijapoa bado.
Check your facts mkuu, hii sio kweli
Hii nayo sio kweli, labda nyepesinyepesi tu.
Vijana fanyeni kazi, visingizio havitatusaidia kupiga hatua mbele. Bwana Ali ni inspiration kwa vijana wanaojaribu kuwa enterprenuers na wala hakufanikiwa kwa sababu ya political connections bali wamekuwa wakimteua kwenye hizo BOARD wakati tayari amefanikiwa.
humu ndani kuna watu inaelekea kiingereza hamkielewi au vipi sijui
yaani huyo ali mufuruki ndie chairman wa atc?????????yani founding chairman????????na madudu yote ya atc????????halafu yeye ndio mwenyekiti wa kumshauri rais wa tz????????na madudu yote ya jk???????
halafu mnamsifia???????????????
????????????????????????????????????????????????????????
Mufuruki conspired with the South African airways to bankrupt ATC during his tenure as ATC chairman!! In fact not only was he a chairman but used to act as CEO by writing all official letters concerning money matters; hapo akishirikiana na yule CEO kutoka South ndio waliikomba Airline yetu! Halafu mnashangaa amepata wapi utajiri??
Huyu FISADI NYANGUMI toka longtime ila alikomaa kifisadi kwenye kipindi cha Mzee Rukhsa, na msaada alopewa na YK Museveni.Datas za ndani ninazo nasubiri wabishi waje nianze kushusha vyombo.Mkuu Bulesi,
Tupo pamoja. Nilisema awali na datas zinakuja. You have hit the point. Nasikia jamaa during kuvunja ndoa na SA, jamaa walipocket more than Tsh 5bn!!!! Najua one day italipuka hii. There was intercompany transactions.... Zitakuja tu datas. Eti mjasiriamali!! bwa..bwaaa... labda mjasiriamali wa ufisadi. Wapi bwana? Mfumo wa tz ulivyo na ukifuatilia story ya huyu bwana...clearly ujasiriamali hauwezi mfikisha hapo kwa staly hiyo...
Huyu FISADI NYANGUMI toka longtime ila alikomaa kifisadi kwenye kipindi cha Mzee Rukhsa, na msaada alopewa na YK Museveni.Datas za ndani ninazo nasubiri wabishi waje nianze kushusha vyombo.
In brief, ATCL failed because of some top government officials who failed to advice the government effectively; these include Basil Mramba as Finance Minister, Gray Mgonja, William Kussila and Andrew Chenge.
Mufuruki didnt draft any partnership agreement between ATC AND SAA. He was only appointed after the two comapnies have merged. Why was he appointed? It was agreed that the Board's chairman should be a person trusted by both parties--ATC and SAA.
It is good to remember that the agreement was drafted by IMMA ADVOCATE, before Chenge as AG approved it under conditions that some top guys get their shares.
Mufuruki was approved by SAA because of positive vetting from Ami Mpungwe who was our ambassador there while in Tanzania his name was among other things recommended by Governor Ballali, Mramba and Ruhinda.
Anyway, nawahi Malawi, when I am back sasa nitawapa upande mwingine wa huyu jamaa nilikuwa tu naclear swala la ATCL
Mdau Semilong, si vizuri kuongea mambo personal ya watu hapa,lakini let me tell you in general mambo matatu:
1.Watu woooooote waliofanikiwa katika biashara duniani wali experience one breakthrough at one intime katika shughuli zao,ni kama zali vile linakuangukia hata wewe mwenyewe weza shangaa. Muulize mfanyabiashara yeyote atakueleza hilo.
2. You need a mentor. Muulize hata Bill Gates kuna mtu alimshika mkono akamfungulia milango. Ndo maana nimesema sitaki kuwa personal katika hii thread.
3. Kufanikiwa katika biashara does not necessarily mean kwamba wewe ni mjanja sana au una akili sana au unafanya kazi sana kuliko wenzio,na kwa mantiki hiyo kufeli katika biashara does not necessarily mean kwamba wewe ni mjinga,mvivu au sio mwelewa.
Hapa ndipo watu wanaenda ash tray;ni suala la msingi.Ila huyu jamaa mnayemzungumzia hapa kwa mfano katika hiyo issue ya ATCL;kwa kipindi alichoingia kama kweli alikuwa active kama hivi watu wanavyomuelezea alipaswa kusaidia kuinusuru hiyo kampuni.Mukulu uko sahihi, Bongo tumezidi, pesa kidogo tu, unakimbilia maghari ya kifahari eti kujulikana mjini. Kuna rafiki yangu ana maghari matatu kwake--Vogue, Audi Q7 na BMW x5, jumla yote ni dola laki mbili na nusu.
Thamani ya haya maghari ni mtaji wa Kuanzisha kiwanda cha minofu ya samaki au juice kule Tanga.
Mimi nakuunga mkono katika our spending behaviour hapa Bongo