saq, tuache kuwa-hate mafisadi wanauza nchi na kutuweka kwenye hali ngumu, tuanze kum-hate mtu anayeishi maisha yake, na kufanya ubunifu wa kuwapatia watz wachache mkate wao wa kila siku! get a life,kiddo.it will do u good..
Wazee wa JF !
What do u think abt this young kid (Ali remtulla)
Some say huyo kijana anayo akili ya kizungu...
Some say his a womanizer ! he loves to be around WOMEN all the TIME...!
Some say his a SHAMELESS brat, DESTROYING our culture of respect and morality by making our WOMEN WAlK NAKED with hardly any clothes !!!!!