Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Mjomba mtata wa Oman,Mmiliki wa Superdoll anaacha kulipa kodi Tanzania anaenda kuwekeza Afrika kusini, je, huu ni Uzalendo?
NBC mliipiga mkapata mtaji,lakini hamlipi fadhila kwa Taifa letu.
Kila siku danadana ila kwenye majarida ya kimataifa anaandikwa kwa wino mweusi "billionaire" sasa Tanzania inanufaikaje hapo?
Seif - Kagera Sugar,Superdoll
Nassor - Mtibwa Sugar
NBC mliipiga mkapata mtaji,lakini hamlipi fadhila kwa Taifa letu.
Kila siku danadana ila kwenye majarida ya kimataifa anaandikwa kwa wino mweusi "billionaire" sasa Tanzania inanufaikaje hapo?
Seif - Kagera Sugar,Superdoll
Nassor - Mtibwa Sugar