Msaada wazee nataka kufanya biashara kupitia alibaba.com
naomba kujua ambao walishawahi na experience yao kwenye hii online thing
na je jamaa ni waaminifu na bidhaaa ni bora ...kama unavyoona kwenye pic ...
na if any complain where do u go
Msaada wazee nataka kufanya biashara kupitia alibaba.com
naomba kujua ambao walishawahi na experience yao kwenye hii online thing
na je jamaa ni waaminifu na bidhaaa ni bora ...kama unavyoona kwenye pic ...
na if any complain where do u go