Amazon akizubaa tu kdg huyu jamaa akapata gap akajipenyeza EUROPE atamtafta kwa tochi..
Anapanda kwa kasi sana.....
ashawapiga chini
walmart, ebay n.k asaiv kambakiza yy tuu
kumshusha amazoni kwenye totol sales/revenue ni ngumu ila kwenye faida kampita kwa mbali sanaa,
juzi nilisoma ana operating margin ya 28% vs 5%