Alice kella

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
5,487
Reaction score
4,817
mwenyew nampenda sana huyu mdada kutoka THT ni mzuri sana ase black beauty ana sauti nzito nzuri kila siku namskiza jamani nyimbo zake sio siri nimefall in love kwake nampenda sana nataman aje kuwa mke wangu.please naomba kama yupo JF ata anitafte bas anipe nafas ya kuwa nae,au mtu unamfahamu embu mfikishie ujumbe huu nipate namba ake.ananivutia sana huyu mrembo ase nimeshindwa kuvumilia wakuu.....
 

Attachments

  • alice.jpg
    4.8 KB · Views: 29
Umejiongeza sana aisee, ila kama ushajua anapatikana THT, kwa nini usiende hapo, na wanafanyia mazoezi hapo daily.

Panda mwendo kasi ili uwahi kufika, ushukie Biafra ama Moroco ya kinondoni. Labda kama THT walihama pale.

Changamka, yaweza kuwa ndiyo wewe unasubiriwa pia. KILA LA KHERI.

Ahsante!
 
Ahsante san mkuu nilikuwa sipafahamu hapo,umenijibu vema san ubarikiwe.nadhani siku nikirud Dar nikatafte.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…